Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
Nyie ndo mnauzi kwa propaganda zenu eti yanga ni ccm,. Watu tupo yanga kabla hatujui chadema na bado chadema imekuja tupo chadema na niviongozi,. Acheni upuzi wa kutugawa wanachama wa chadema kiushabiki,. Mbona nyie mwenyekiti wenu ni mbunge wa ccm
Hukukosea kujiita "UKWELI MTUPU".....wanaoshabihisha rangi za Dar Young Africans na za CCM wana akili isiyo safi kama "utupu" usiooshwa wiki.
Mwenyekiti wao mwenyewe ni Mbunge wa CCM.