Yanga kufungwa na Azam kumeiongezea umakini na makali

Yanga kufungwa na Azam kumeiongezea umakini na makali

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Yanga ilifungwa na Azam lakini wanaYanga wanaona poa tu. Kufungwa huku sio udhaifu bali ni mwanzo wa wachezaji na walimu kuongeza umakini na juhudi kwenye mechi.

Bila ya hivyo kiburi na kujiamini kulikopitiliza kungetamalaki kikosini. Hata wasanii wa hovyo walitunga nyimbo za kuwaaminisha wachezaji, walimu, viongozi na mashabiki kuwa Yanga haiwezi kufungwa, bila shaka nyimbo za aina hii zimejimaliza zenyewe baada ya Yanga kupoteza mechi dhidi ya Azam.

Hata hivyo, pamoja na kufungwa lakini Azam ndio waliokuwa wanaomba mechi iishe kwa ushindi wa tugoli tumoja dhidi ya Yanga yenyewe wachezaji pungufu.

Hii ni kuonyesha kuwa timu zote nchini zinaiheshimu sana Yanga.

Natabiri kuwa baada ya mchezo ule Yanga haitapoteza tena na itafungua ukurasa wa magoli mengi dhidi ya wapinzani na hkuna mchezaji atakaeshangaa wala kuhoji kama Gamondi atamsugulisha mbao ndefu kikosini.

Amepata sababu ya kuwanyima namba wachezaji wasiojituma na wanaopoteza nafasi za wazi.
 
Yanga ilifungwa na Azam lakini wanaYanga wanaona poa tu. Kufungwa huku sio udhaifu bali ni mwanzo wa wachezaji na walimu kuongeza umakini na juhudi kwenye mechi. Bila ya hivyo kiburi na kujiamini kulikopitiliza kungetamalaki kikosini. Hata wasanii wa hovyo walitunga nyimbo za kuwaaminisha wachezaji, walimu, viongozi na mashabiki kuwa Yanga haiwezi kufungwa, bila shaka nyimbo za aina hii zimejimaliza zenyewe baada ya Yanga kupoteza mechi dhidi ya Azam.

Hata hivyo, pamoja na kufungwa lakini Azam ndio waliokuwa wanaomba mechi iishe kwa ushindi wa tugoli tumoja dhidi ya Yanga yenyewe wachezaji pungufu. Hii ni kuonyesha kuwa timu zote nchini zinaiheshimu sana Yanga.

Natabiri kuwa baada ya mchezo ule Yanga haitapoteza tena na itafungua ukurasa wa magoli mengi dhidi ya wapinzani na hkuna mchezaji atakaeshangaa wala kuhoji kama Gamondi atamsugulisha mbao ndefu kikosini. Amepata sababu ya kuwanyima namba wachezaji wasiojituma na wanaopoteza nafasi za wazi.
Baada ya Yanga kutolewa usichana wake na Azam umeshafuta ile kauli kuwa Yanga inafungwaje?
 
Baada ya Yanga kutolewa usichana wake na Azam umeshafuta ile kauli kuwa Yanga inafungwaje?
Kwani waliotunga na kuimba huo wimbo ni Yanga au wasanii?
 
Yanga ilifungwa na Azam lakini wanaYanga wanaona poa tu. Kufungwa huku sio udhaifu bali ni mwanzo wa wachezaji na walimu kuongeza umakini na juhudi kwenye mechi.

Bila ya hivyo kiburi na kujiamini kulikopitiliza kungetamalaki kikosini. Hata wasanii wa hovyo walitunga nyimbo za kuwaaminisha wachezaji, walimu, viongozi na mashabiki kuwa Yanga haiwezi kufungwa, bila shaka nyimbo za aina hii zimejimaliza zenyewe baada ya Yanga kupoteza mechi dhidi ya Azam.

Hata hivyo, pamoja na kufungwa lakini Azam ndio waliokuwa wanaomba mechi iishe kwa ushindi wa tugoli tumoja dhidi ya Yanga yenyewe wachezaji pungufu.

Hii ni kuonyesha kuwa timu zote nchini zinaiheshimu sana Yanga.

Natabiri kuwa baada ya mchezo ule Yanga haitapoteza tena na itafungua ukurasa wa magoli mengi dhidi ya wapinzani na hkuna mchezaji atakaeshangaa wala kuhoji kama Gamondi atamsugulisha mbao ndefu kikosini.

Amepata sababu ya kuwanyima namba wachezaji wasiojituma na wanaopoteza nafasi za wazi.
Kweli kabisa
 
Yanga ilifungwa na Azam lakini wanaYanga wanaona poa tu. Kufungwa huku sio udhaifu bali ni mwanzo wa wachezaji na walimu kuongeza umakini na juhudi kwenye mechi.

Bila ya hivyo kiburi na kujiamini kulikopitiliza kungetamalaki kikosini. Hata wasanii wa hovyo walitunga nyimbo za kuwaaminisha wachezaji, walimu, viongozi na mashabiki kuwa Yanga haiwezi kufungwa, bila shaka nyimbo za aina hii zimejimaliza zenyewe baada ya Yanga kupoteza mechi dhidi ya Azam.

Hata hivyo, pamoja na kufungwa lakini Azam ndio waliokuwa wanaomba mechi iishe kwa ushindi wa tugoli tumoja dhidi ya Yanga yenyewe wachezaji pungufu.

Hii ni kuonyesha kuwa timu zote nchini zinaiheshimu sana Yanga.

Natabiri kuwa baada ya mchezo ule Yanga haitapoteza tena na itafungua ukurasa wa magoli mengi dhidi ya wapinzani na hkuna mchezaji atakaeshangaa wala kuhoji kama Gamondi atamsugulisha mbao ndefu kikosini.

Amepata sababu ya kuwanyima namba wachezaji wasiojituma na wanaopoteza nafasi za wazi.
Rudia kutabiri tena.Na Azam ulisema kigoli kimoja leo Tabora wamemaliza pakiti ya Rough Rider.Wacheni ngonjera.Mpira huchezwa uwanjani.
 
Yanga ilifungwa na Azam lakini wanaYanga wanaona poa tu. Kufungwa huku sio udhaifu bali ni mwanzo wa wachezaji na walimu kuongeza umakini na juhudi kwenye mechi.

Bila ya hivyo kiburi na kujiamini kulikopitiliza kungetamalaki kikosini. Hata wasanii wa hovyo walitunga nyimbo za kuwaaminisha wachezaji, walimu, viongozi na mashabiki kuwa Yanga haiwezi kufungwa, bila shaka nyimbo za aina hii zimejimaliza zenyewe baada ya Yanga kupoteza mechi dhidi ya Azam.

Hata hivyo, pamoja na kufungwa lakini Azam ndio waliokuwa wanaomba mechi iishe kwa ushindi wa tugoli tumoja dhidi ya Yanga yenyewe wachezaji pungufu.

Hii ni kuonyesha kuwa timu zote nchini zinaiheshimu sana Yanga.

Natabiri kuwa baada ya mchezo ule Yanga haitapoteza tena na itafungua ukurasa wa magoli mengi dhidi ya wapinzani na hkuna mchezaji atakaeshangaa wala kuhoji kama Gamondi atamsugulisha mbao ndefu kikosini.

Amepata sababu ya kuwanyima namba wachezaji wasiojituma na wanaopoteza nafasi za wazi.
Naona umakini unazidi kuongezeka
 
Amepata sababu ya kuwanyima namba wachezaji wasiojituma na wanaopoteza nafasi za wazi.
20241030_052545.jpg
 
Back
Top Bottom