Yanga kufungwa na MC Alger leo,Simba itacheza kesho na Constatine

Yanga kufungwa na MC Alger leo,Simba itacheza kesho na Constatine

NgerukeAbra

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2022
Posts
1,336
Reaction score
2,008
Habari za asubuhi wana jukwaa natumai mmeamka salama kabisa na tayari mmeshafanya maombi kwa Mwenyezi Mungu juu ya mahitaji binafsi.

Kichwa cha habari kinahitaji elimu ya darasa la nne tu kukielewa kwa ufasaha,utopolo fc msikurupuke kama mwanasheria wenu Patrick Simon bali mnapaswa muwe na busara ya hali ya juu kama Mzee Magoma ili muelewe nilichokiandika.

Kumbukeni pale jangwani wenye akili ni wawili tuu.
 
Gusa achia twende leo itakua daima mbele mwiko nyuma
GdptTYQX0AAmtMO.jpeg
 
Habari za asubuhi wana jukwaa natumai mmeamka salama kabisa na tayari mmeshafanya maombi kwa Mwenyezi Mungu juu ya mahitaji binafsi.

Kichwa cha habari kinahitaji elimu ya darasa la nne tu kukielewa kwa ufasaha,utopolo fc msikurupuke kama mwanasheria wenu Patrick Simon bali mnapaswa muwe na busara ya hali ya juu kama Mzee Magoma ili muelewe nilichokiandika.

Kumbukeni pale jangwani wenye akili ni wawili tuu.
Rage apewe hashima yake yule Mzee,,pia mangungu apongezwe kwa kukataa kujiuzulu kwa shinikizo la wanachama wake kama Hawa,,Kuiongoza Simba ni rahisi sana ilimradi uwe na watu dizaini hii!
 
Rage apewe hashima yake yule Mzee,,pia mangungu apongezwe kwa kukataa kujiuzulu kwa shinikizo la wanachama wake kama Hawa,,Kuiongoza Simba ni rahisi sana ilimradi uwe na watu dizaini hii!
'Ufahamu'ukimaliza kusoma unatakiwa ujibu kutoka na habari husika
 
Back
Top Bottom