Yanga: kuifundisha Simba jinsi ya kushinda popote

Mnafarijiana sana baada ya kupoteza pole mmelowaaq
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameandaa hafla ya kuwapongeza Wananchi, Young Africans SC kwa hatua waliyofikia kwenye michuano ya kombe la shirikisho Afrika ambapo klabu hiyo ilifika fainali na kufanikiwa kutunukiwa medali kama mshindi wa pili.

Hafla hiyo ya kuipongeza klabu ya Yanga itafanyika Juni 5, 2023 Ikulu, Dar es Salaam.
 
Wewe limbukeni hunashabikia wachawi
Badilika kijana hizii sik zama za khchawi

Wewe kombe liko wapi msimu huu..
Hivi mliopoanza msimu mlienda wapi na wapi kuweka kambi??
He! Yamekuwa hayo Tena!?Hebu pambanemi na hali yenu. Kambi ya Simba itakusaidia nini wewe!?
 
Inabidi timu zijiwekeze,kushinda kote,Yanga angeshinda Dar ubingwa ungekuwa ni wake,ushindi wa away unakuwa hauna maana kama haukupi kitu.

Yanga pia ina cha kujifunza kutoka kwa Simba kwa kuwa na uhakika wa kushinda mechi za nyumbani walau kwa 80%
Yanga anaamua kushinda kokote
 
Kuna U-TURN mpaka unajiuliza inawezekanaje?

Imagine kutoka kuwa wa kwanza kuleta kombe nchini mpaka kushinda ugenini. Sijui ni yale mafataki yapo vichwani?
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameandaa hafla ya kuwapongeza Wananchi, Young Africans SC kwa hatua waliyofikia kwenye michuano ya kombe la shirikisho Afrika ambapo klabu hiyo ilifika fainali na kufanikiwa kutunukiwa medali kama mshindi wa pili.

Hafla hiyo ya kuipongeza klabu ya Yanga itafanyika Juni 5, 2023 Ikulu, Dar es Salaam.
 
Hapana mkuu... wajifunze kushinda ugenini Kwa waarabu
Simba Hana chochote cha kujifunza kwa Yanga. Maana hizo KMC na Biashara za Uarabuni ni timu za kawaida mno. Ni USMA pekee ndio kidogo wanajulikana, hao wengine ni KMC na Biashara.
 
Popote wapi? Mbona Dar ilinyukwa na USM Algers goli 2-1? Au Yanga ipi hiyo tena?
 
Sometimes mfiche ujinga wenu. Robertinho ana Muda Gani pale Simba. By the way kashampiga hiyo Nabi mara mbili.
Ile mechi ilikuwa ni opportunity cost Kwa Yanga..... either ampige Simba .....then aje apigwe na rivers


Au Yanga afungwe na Simba .....then aje ampige rivers......and u know what happened
 
Unakuwaga na liujinga flani hivi!Fumba macho tuombe!πŸ™πŸ™„
 
Anataka na kura zenu kwa chama chake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…