Yanga kuifunga Singida Big Stars imekuwa nongwa.

Yanga kuifunga Singida Big Stars imekuwa nongwa.

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Wakati Singida ilipofungwa na KMC 2-1 wachambuzi wetu uchwara hawakumlaumu kocha wala kuhoji kwanini Singinda imefungwa na timu dhaifu sana kama KMC na wala hawakuhoji kikosi, lakini baada ya Singida kufungwa na timu imara sana na hodari ya Yanga wachambuzi uchwara na wapenzi wa Simba wanahoji kwanini kocha Ouma alipanga vile na hakupanga vile wakimaanisha amepanga matokeo. Shida ni weledi au ushabiki wa simba na Yanga?

Simba walipofungwa 5-1 na Yanga hawakumhoji kocha wao bali wakamlaumu Manula, ni ukosefu wa weledi au unazi wa simba na Yanga?

Tabora ilipoifunga Yanga wachambuzi hawakuhoji kwanini Yanga ilimwacha nje mchezaji Kibwana Shomari na kocha kumchezesha Denis Nkane kucheza nafasi ya beki.
 
Mbumbumbu bin Kolos utawaweza sasa!

Jana mbumbumbu waliingia na matokeo yao ya Yanga anafungwa.

Sababu zao sasa eti wachezaji walikuwa bize na harusi ya Ki lazima wafungwe.

Kolo game 4 mfululizo kakalia kashindwa kabisa kumfunga Yanga.

Cha ajabu mfupa uliomshindwa fisi(Simba) anatupiwa kunguru(Singida) autafune!
 
Mbumbumbu bin Kolos utawaweza sasa!

Jana mbumbumbu waliingia na matokeo yao ya Yanga anafungwa.

Sababu zao sasa eti wachezaji walikuwa bize na harusi ya Ki lazima wafungwe.

Kolo game 4 mfululizo kakalia kashindwa kabisa kumfunga Yanga.

Cha ajabu mfupa uliomshindwa fisi(Simba) anatupiwa kunguru(Singida) autafune!
Wanajifanya wana huruma sana na Singida; unafiki mtupu, mbona hawakutoa mlio wakati singinda inafungwa na KMC? Eti wanajifanya wanawajua wachezaji wa singida wenye uwezo wa kuifunga Yanga timu ambayo ina medali ya fedha ya CAF Confederation, iliyowafunga simba mara nne mfululizo, bingwa mtetezi wa ligi zote mbili; NBC na CRDB na yenye mchezaji aliyetoa mahari ya 30M na ng'ombe 150.
 
Kuna msemo wa wahenga usemao Kama unajua uchawi huu basi mwinzio anajua uchawi ule. Walio cheka jana leo wanalia na kesho itakuwa kinyume chake
 
Wameumia sana Yani wenyewe wameshindwa kumfunga yanga alafu wanategemea eti singida ndio iwasaidie kumfunga yanga!!! Akili za kindezi kabisa!
 
Wameumia sana Yani wenyewe wameshindwa kumfunga yanga alafu wanategemea eti singida ndio iwasaidie kumfunga yanga!!! Akili za kindezi kabisa!
Walisherehekea kupitiliza kama mazuzu baada ya Tabora kuifunga Yanga siku ileeee
 
Wakati Singida ilipofungwa na KMC 2-1 wachambuzi wetu uchwara hawakumlaumu kocha wala kuhoji kwanini Singinda imefungwa na timu dhaifu sana kama KMC na wala hawakuhoji kikosi, lakini baada ya Singida kufungwa na timu imara sana na hodari ya Yanga wachambuzi uchwara na wapenzi wa Simba wanahoji kwanini kocha Ouma alipanga vile na hakupanga vile wakimaanisha amepanga matokeo. Shida ni weledi au ushabiki wa simba na Yanga?

Simba walipofungwa 5-1 na Yanga hawakumhoji kocha wao bali wakamlaumu Manula, ni ukosefu wa weledi au unazi wa simba na Yanga?

Tabora ilipoifunga Yanga wachambuzi hawakuhoji kwanini Yanga ilimwacha nje mchezaji Kibwana Shomari na kocha kumchezesha Denis Nkane kucheza nafasi ya beki.
Mfumo wa soccer la bongo ndo unataka ivyo so hakuna namna la kuliepuka jambo kama hili… coz kwenye team za tz zinazo shiriki ligi kuu kuna viongozi wengi sana ni mashabiki wa simba na yanga ss wachambuzi na nyie mashabiki acheni milalamo haina msingi.. nendeni na mfumo wenu wa soccer siasa.
 
Yanga kumfunga singida sio story kubwa endapo singida ingepanga kile kikos. Chake first eleven
Huwez kupanga kikos B kwa timu ya quality kam yanga
Hayo ni maelekezo kutok kwa wakubwa
 
Yanga kumfunga singida sio story kubwa endapo singida ingepanga kile kikos. Chake first eleven
Huwez kupanga kikos B kwa timu ya quality kam yanga
Hayo ni maelekezo kutok kwa wakubwa
Kwani mzunguko wa kwanza Singida na Yanga mechi iliishaje?

Kikosi cha Singida kilikuwaje?
 
Yanga kumfunga singida sio story kubwa endapo singida ingepanga kile kikos. Chake first eleven
Huwez kupanga kikos B kwa timu ya quality kam yanga
Hayo ni maelekezo kutok kwa wakubwa
Nani anaamua mchezaji yupi ni wa kikosi B au A kama sio kocha mwenyewe? Mbona Mgunda alipoingia Simba akina balua, mashaka, kalabaka, chasambi, Katolo ndio akawafanya kikosi A na kuwaacha akina Chama na manula. Kikosi A na B ni mtizamo wa wahuni tu, kocha ndiye anachagua kutokana na anavyoona na hali ya kikosi siku ya mechi.
 
Wakati Singida ilipofungwa na KMC 2-1 wachambuzi wetu uchwara hawakumlaumu kocha wala kuhoji kwanini Singinda imefungwa na timu dhaifu sana kama KMC na wala hawakuhoji kikosi, lakini baada ya Singida kufungwa na timu imara sana na hodari ya Yanga wachambuzi uchwara na wapenzi wa Simba wanahoji kwanini kocha Ouma alipanga vile na hakupanga vile wakimaanisha amepanga matokeo. Shida ni weledi au ushabiki wa simba na Yanga?

Simba walipofungwa 5-1 na Yanga hawakumhoji kocha wao bali wakamlaumu Manula, ni ukosefu wa weledi au unazi wa simba na Yanga?

Tabora ilipoifunga Yanga wachambuzi hawakuhoji kwanini Yanga ilimwacha nje mchezaji Kibwana Shomari na kocha kumchezesha Denis Nkane kucheza nafasi ya beki.
Unafikiri Rage alikosea kuwaita mbumbumbu hao viumbe? Huo muda wa kufikiri hawajawahi kuupata. Wao wanapenda tu kupiga makelele, kutukana hovyo, na kung'oa viti vya uwanjani.
 
Yanga kumfunga singida sio story kubwa endapo singida ingepanga kile kikos. Chake first eleven
Huwez kupanga kikos B kwa timu ya quality kam yanga
Hayo ni maelekezo kutok kwa wakubwa
Kama asingekuwa Dickson Job kuokoa ule mpira uliomshinda Diara Singida ingepata sare kwa kutumia kikosi hichohicho akina Jemedari wananachosema ni kikosi B. Nadhani chanzo cha maneno ni Yanga kupata point 3 nyingine dhidi ya Simba zinazoilazimisha simba kushinda mechi 2 ipende isipende ili iongoze ligi tena kwa point 1.
 
Nani anaamua mchezaji yupi ni wa kikosi B au A kama sio kocha mwenyewe? Mbona Mgunda alipoingia Simba akina balua, mashaka, kalabaka, chasambi, Katolo ndio akawafanya kikosi A na kuwaacha akina Chama na manula. Kikosi A na B ni mtizamo wa wahuni tu, kocha ndiye anachagua kutokana na anavyoona na hali ya kikosi siku ya mechi.
Mkuu usiongelee kiushabiki ongelea facts
Kwa kile kikos alichopanga BSS dhid ya yanga ni kikos dhaifu karibia wachezaj 6 muhim ote wamepumzishwa kweny mech ile
Na ukizingatia mech zngine BSS anaweke kikos chake. Cha kazi kina battle vzur ata itapoteza it's fine huwez sikia makelele
Seriously upumzishe wachezaji muhim kwa mech dhid ya yanga najua unajua kuwa yale ni maelekezo kwa kuwa mmiliki wa BSS ni mwanayanga
 
Back
Top Bottom