Akili ya mpira nyinyi Mashabiki wa Yanga hamna aisee , leo hii kombe la shirikisho mnaliita la Wamama, wakati ndio lililowapandisha rank. π€£π€£π€£Issue ipo hiviiii
simba ana point 28. Yanga ana point 24. Yanga akiingia makundi kesho anapata point 10 jumla anakua na 34. Simba akifuzu na yeye kombe la looser ( wamama) anapata point 2.5 so anakua na point 30.5 so yanga anakua juu ya simba
Asante kwa ufafanuziPoint inatolewa baada ya kutamatika hatua ya makundi
Klabu bingwa
Timu zitakazofuzu kwenda robo fainali zinapata point 3x5=15
Timu itakayoshika nafasi ya tatu inapata point 2x5= 10
Timu itakayoshika nafasi ya mwisho kwenye kundi inapata point 1x5=5
Shirikisho
Timu zinazofuzu robo point 2x5=10
Nafasi ya tatu point 1x5= 5
Nafasi ya mwisho kwenye kundi point 0.5x5=2.5
Hizo zako umepiga kwa assumption ya timu moja kuwa ya tatu mwingine nafasi 4 ila yote kwa yote ili Simba aizidi Yanga kama zote zitaingia makundi, inatakiwa iiache Yanga kwa hatua moja au zaidi.
Siyo 39 kwa 31 tena.Issue ipo hiviiii
simba ana point 28. Yanga ana point 24. Yanga akiingia makundi kesho anapata point 10 jumla anakua na 34. Simba akifuzu na yeye kombe la looser ( wamama) anapata point 2.5 so anakua na point 30.5 so yanga anakua juu ya simba
Hakika tuwe na adabu ni simba iliyowezesha Tanzania kutoa timu 4 zishiriki haya mashindano kwa kuchangia point nyingi zaidi kuliko timu yeyote ile TzWakati mwingine, muwe na aibu japo kidogo, na muwe na heshima. Kazi kusifia vyenu, hata vinukavyo harufu mbaya!
Wewe umekuwa bingwa mara 30. Mwenzio mara 22. Wewe umeshiriki ligi ya mabingwa mara nyingi, kuliko mwenzio, tena tukiwakilishwa na timu moja. Mwenzio kaingia makundi mara nyingi kuliko wewe!
Kwa idadi ya ubingwa wako wa hapa Tanzania, na idadi ya uwakilishi wako wa kwenye mashindano hayo, ulitakiwa kwa sasa, pointi zako uwe umekaribiana na Al Ahly huko!
Cha kuchekesha, unamcheka uliyemzidi umri, na amekuzidi mali, kuwa unakaribia kumzidi!
Hamnazo kweli!
Simba Ina point 39 na Yanga wana 31. Wote Wakiingia Robo. Simba atakuwa na 49 na Yanga 46Point inatolewa baada ya kutamatika hatua ya makundi
Klabu bingwa
Timu zitakazofuzu kwenda robo fainali zinapata point 3x5=15
Timu itakayoshika nafasi ya tatu inapata point 2x5= 10
Timu itakayoshika nafasi ya mwisho kwenye kundi inapata point 1x5=5
Shirikisho
Timu zinazofuzu robo point 2x5=10
Nafasi ya tatu point 1x5= 5
Nafasi ya mwisho kwenye kundi point 0.5x5=2.5
Hizo zako umepiga kwa assumption ya timu moja kuwa ya tatu mwingine nafasi 4 ila yote kwa yote ili Simba aizidi Yanga kama zote zitaingia makundi, inatakiwa iiache Yanga kwa hatua moja au zaidi.
Kwasasa Simba ina point 28 huku Yanga ikiwa na point 24, point zimepungua kwasababu tayari mashindano mapya yameshaanza ya msimu wa 2024/2025 hivyo ranking inafanyika kwa kuchukua misimu minne nyuma huku zile vizidishio ( coefficient) zikiwa zimebadilika.Simba Ina point 39 na Yanga wana 31. Wote Wakiingia Robo. Simba atakuwa na 49 na Yanga 46
huyo ni chura mwenzako, ila yeye yuko kwenye kundi la kina JKKwasababu wew ni Mbu Mbu mbu
Hizi akili za hesabu za 'tuki' na 'waki' zinapatikana mbumbumbu street tu (msimbazi), iko wazi kabisa Simba haina msuli wa kuingia makundi kombe la rede la wamama sembuse kutinga robo fainali, huku sisi uto itakuwa maajabu ya mpira kushindwa kutinga nusu fainali kombe la wanaume wa shoka tunaloshiriki.Simba Ina point 39 na Yanga wana 31. Wote Wakiingia Robo. Simba atakuwa na 49 na Yanga 46
Jaribu kuficha ujinga wakoπ§π¨π¦ππππ₯π
Kumbe Makolo wanaumia hivyo kisa Young Africans Sports Club kama tu kesho akitinga makundi CAF CHAMPIONS LEAGUE.Anyway Yanga amefuzu mara moja tu Makundi Ligi ya Mabingwa na amecheza Fainali moja tu CAF CONFEDERATION CUP.
Ndani ya miaka 2 tu.Ila Kesho atakuwa juu kwenye Rank za CAF dhidi ya waliocheza robo fainali 5 Kibonde wa Yanga toka 1936.
Yanga kweli wameamua kuliteka Soka la Tanzania hadi nje ya mipaka ya Tanzania.[emoji110] Hongereni sana Wananchi wenzangu.
Operation fyeka vichaka vya makolo
Ndio hivyo mkuu....ukubwa wa pua...sio wingi wa kamasiWakati mwingine, muwe na aibu japo kidogo, na muwe na heshima. Kazi kusifia vyenu, hata vinukavyo harufu mbaya!
Wewe umekuwa bingwa mara 30. Mwenzio mara 22. Wewe umeshiriki ligi ya mabingwa mara nyingi, kuliko mwenzio, tena tukiwakilishwa na timu moja. Mwenzio kaingia makundi mara nyingi kuliko wewe!
Kwa idadi ya ubingwa wako wa hapa Tanzania, na idadi ya uwakilishi wako wa kwenye mashindano hayo, ulitakiwa kwa sasa, pointi zako uwe umekaribiana na Al Ahly huko!
Cha kuchekesha, unamcheka uliyemzidi umri, na amekuzidi mali, kuwa unakaribia kumzidi!
Hamnazo kweli!
Ambapo hicho kitu hakiwezekanPoint inatolewa baada ya kutamatika hatua ya makundi
Klabu bingwa
Timu zitakazofuzu kwenda robo fainali zinapata point 3x5=15
Timu itakayoshika nafasi ya tatu inapata point 2x5= 10
Timu itakayoshika nafasi ya mwisho kwenye kundi inapata point 1x5=5
Shirikisho
Timu zinazofuzu robo point 2x5=10
Nafasi ya tatu point 1x5= 5
Nafasi ya mwisho kwenye kundi point 0.5x5=2.5
Hizo zako umepiga kwa assumption ya timu moja kuwa ya tatu mwingine nafasi 4 ila yote kwa yote ili Simba aizidi Yanga kama zote zitaingia makundi, inatakiwa iiache Yanga kwa hatua moja au zaidi.