Mtani wa Taifa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2023
- 953
- 3,318
Hiyo bodi ya ligi ni geresha tu, maelekezo yote yanatoka kwa msomali Karia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinachohojiwa hapa ni double standardMkuu kadi ya njano moja haijawahi kuwa adhabu kwenye mpira wa miguu, ni onyo
aliye fanya kosa la kwanza (TFF) hata alipo kumbushwa alichuliwa hatua gani ama yeye akikosea haadhibiwiKosa moja halihalalishi jingine. Kutomfungia wa kwanza lilikuwa kosa pia. Pengine kaadhibiwa kwa kuwa karudia kosa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]Sisi kama viongozi tunataka wachezaji watemi kama Aucho
Sasa unasemaje?
Mwaka Jana Bangala alichezewa rafu ya red card na mchezaji wa Coast akapewa yellow Wala hakuadhibiwa na kamati why wachezaji wa Yanga wapewe double punishment? Mbumbumbu mwenzenu karia ashike adabu yake mbwa huyouko sahihi ila yanga wana uliza kuna mchezaji aliwahi fanya utovu wa nidhamu akapewa njano hivyo hakuna adhabu nyingine, aucho kafanya faulo na kapewa adhabu asa ya nini tena kumfungia mbona yule hakufungiwa
Wanachefua sana aiseeKuna uwezekano mkubwa hiyo Bodi ya Ligi inafanya shughuli zake kwa maelekezo ya Wallace Karia. Maana hii ni double standard ya wazi kabisa.
Onyo ni mojawapo ya adhabuMkuu kadi ya njano moja haijawahi kuwa adhabu kwenye mpira wa miguu, ni onyo
Usikute hyo bia kanunuliwa na huyo anaemng'ong'a...
Hata nami nataka nikununulie bia afu tukae kuangalia marudio ya Simba Vs Yanga 05/11/2023 ili uning'ong'e vizuri Mtani [emoji847]Usikute hyo bia kanunuliwa na huyo anaemng'ong'a...
Usenge mtupu.Kosa moja halihalalishi jingine. Kutomfungia wa kwanza lilikuwa kosa pia. Pengine kaadhibiwa kwa kuwa karudia kosa
Haya mtani....japo mm sinywi bia...just wine au maji...au hela huna ya wine?Hata nami nataka nikununulie bia afu tukae kuangalia marudio ya Simba Vs Yanga 05/11/2023 ili uning'ong'e vizuri Mtani [emoji847]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app