MKWEAMINAZI
JF-Expert Member
- May 28, 2023
- 930
- 1,304
Hawana cha kusema Wamelowa wamelowaMapema sana ngoja tusubiri Ali Kamwe na Priva wanasemaje.
Simba Hoyeeee [emoji123]
Khaa!!!!!Kuna habari zinazagaa hapa Tanga muda huu kuwa Klabu ya YANGA huenda ikapata RUFAA Usiku huu Kupinga Ushindi wa SIMBA leo
Sababu za Kupinga ni SIMBA kumchezesha CHAMA ktk Mchezo huo.
Ngoja tusubiri.View attachment 2716573
Kuna habari zinazagaa hapa Tanga muda huu kuwa Klabu ya YANGA huenda ikapata RUFAA Usiku huu Kupinga Ushindi wa SIMBA leo
Sababu za Kupinga ni SIMBA kumchezesha CHAMA ktk Mchezo huo.
Ngoja tusubiri.View attachment 2716573
Inamaana hukuona tumenyimwa goli la 2 tuliloambiwa offside.Hawana cha kusema Wamelowa wamelowa
Vijana wapunguze kelele
sidhani kama simba wanaweza kukosea kiasi hicho kumchezesha chama,pili bahati haikuwa kwetu yanga tuache tuKuna habari zinazagaa hapa Tanga muda huu kuwa Klabu ya YANGA huenda ikapata RUFAA Usiku huu Kupinga Ushindi wa SIMBA leo
Sababu za Kupinga ni SIMBA kumchezesha CHAMA ktk Mchezo huo.
Ngoja tusubiri.View attachment 2716573
Pelekeni CAS mtapewa hizo GOLIInamaana hukuona tumenyimwa goli la 2 tuliloambiwa offside.
Goli la 1 ni offside ila la 2 lilikuwa zuri tu.Pelekeni CAS mtapewa hizo GOLI
Wamtafute yule aliyepeleka barua pepe FIFA awasaidieKuna habari zinazagaa hapa Tanga muda huu kuwa Klabu ya YANGA huenda ikapata RUFAA Usiku huu Kupinga Ushindi wa SIMBA leo
Sababu za Kupinga ni SIMBA kumchezesha CHAMA ktk Mchezo huo.
Ngoja tusubiri.View attachment 2716573
Yule jamaa anaenda kushtaki hadi interpol. Atakuwa comedian yule na kingereza chakeWamtafute yule aliyepeleka barua pepe FIFA awasaidie
Mimi ndio maana huwa napenda sana VAR.Goli la 1 ni offside ila la 2 lilikuwa zuri tu.
VAR waangalie mipira iliyokuwa inadakwa dakwa refa anapeta.Mimi ndio maana huwa napenda sana VAR.
Na simba kunyimwa penalty ya wazi, hilo unasemajeee?Goli la 1 ni offside ila la 2 lilikuwa zuri tu.