Yanga kukata Rufaa Mahakama ya Usuluhishi ya Michezo (CAS) juu ya Bernard Morrison

Kwani Africa hakuna mchezaji mwingine zaidi ya huyo Morrison? Kwanini Yanga wasiachane nae huyo mchezaji tu. Mchezaji kaishaonesha haitaki Yanga sasa yanini kumng'ang'ania?
 
TFF ni tawi la simba, Yanga waende kushtaki FIFA, Simba wamezidi kubebwa
 
Kwani Africa hakuna mchezaji mwingine zaidi ya huyo Morrison? Kwanini Yanga wasiachane nae huyo mchezaji tu. Mchezaji kaishaonesha haitaki Yanga sasa yanini kumng'ang'ania?
Hakuna mwana Yanga anayemtaka yule ki- chaa! Kinachotakiwa ni haki kutendeka! Mokofia na Avena wamezoea sans kucheza faulo
 
Kwa hiyo mlitegemea Yanga akubali kushindwa hiyo kesi, unategemea washabiki wangewaonaje. Hapo ni janjajanja ya kuzuga kwa muda ili mashabiki wapooze munkari. Siunajua akili zetu wabongo wiki tu tushasahau. Nakumbuka hata Simba alisema anaenda fifa wakati Yanga anachukua ushindi Mara ya mwisho 2016/2017 lakini tujiulize waliishia wapi. Hiyo ni kuzuga tu mashabiki wasahau.
 
Utopoloni fc + injiniha nasikia wapo hoiiii wame ambulia nzose tu wajifariji nayeee
 
Kama nashabiki na wanachama wa Yanga wangekuwa na akili baada tu hukumu kutangazwa wangeondoka ofisi za TFF na kuhamia ofisi za Yanga kushinikiza viongozi wao wajuuzulu!
 
Yanga wanajaribu kuwazubaisha akili mashabiki wao, hawawezi kuthubutu kwenda popote kudai chochote watazidi kuumbuka.
 
Reactions: Tui
Wanatishia kujamba hawawezi ,lengo lao halisi ilikuwa hiyo Aya pili kwamba wanawataka wanachama na mashabiki wao wawe watulivu 🤣
 
Yaaani mashabiki wa Yanga ni utopolo pure, zaidi ya [emoji205] mnadanganywa kipuuzi na nyie mnakubali dah

Simba timu nguvu moja toka nikiwa kichanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…