Mpira wa kona
JF-Expert Member
- Nov 25, 2016
- 350
- 338
Wadau wa kandanda la Tanzania, naomba tujadili iwapo kitendo cha Yanga kumchezesha mchezaji halali wa Simba Hassan Kessy katika mechi za Ligi Kuu kilikuwa Halali au sio Halali? Na ni nani aliyeruhusu mchezaji Huyo kucheza pale TFF? Kutokana Na Hukumu iliyotolewa juzi ni Uthibitisho tosha kuwa haikuwa Halali TFF kumruhusu mchezaji huyo.Je kitendo cha Yanga kumchezesha wakati bado ana mkataba Na Simba adhabu yake ni nini? Naomba tujadili kuliokoa Soka Na Sheria za Usajili.