logframe JF-Expert Member Joined Aug 19, 2014 Posts 4,242 Reaction score 5,543 Aug 21, 2018 #21 Samaritan said: Ujue hata kama alishamsahau ila hizi kauli zitamfanya aone silaha na mikasa yote aliyppitia haijamtikisa ipasavyo, ataandaliwa dozi kubwa inayoweza kumnyamazisha kabisa. Kuna kipindi kunyamaza ni jambo bora kabisa. Click to expand... Kuna watu wachonganishi kabisa, Manji kwa utawala huu hawezi Kusema maneno ya vile. Wanamtaftia misukosuko kabisa. Sent using Jamii Forums mobile app
Samaritan said: Ujue hata kama alishamsahau ila hizi kauli zitamfanya aone silaha na mikasa yote aliyppitia haijamtikisa ipasavyo, ataandaliwa dozi kubwa inayoweza kumnyamazisha kabisa. Kuna kipindi kunyamaza ni jambo bora kabisa. Click to expand... Kuna watu wachonganishi kabisa, Manji kwa utawala huu hawezi Kusema maneno ya vile. Wanamtaftia misukosuko kabisa. Sent using Jamii Forums mobile app
Rajab_Omar JF-Expert Member Joined May 15, 2016 Posts 16,482 Reaction score 27,182 Aug 21, 2018 #22 Ndala Bhana! Wameamua Kujifariji Kwa Habari Fake! πππ
Baba Swalehe JF-Expert Member Joined Jun 6, 2017 Posts 20,178 Reaction score 39,641 Aug 21, 2018 #23 Hivi anko magu ni simba au yanga a e i o u
Prince Kunta JF-Expert Member Joined Mar 27, 2014 Posts 22,797 Reaction score 28,904 Aug 22, 2018 #24 baba swalehe said: Hivi anko magu ni simba au yanga a e i o u Click to expand... Yeye anataka makombe tu
baba swalehe said: Hivi anko magu ni simba au yanga a e i o u Click to expand... Yeye anataka makombe tu
Mahole JF-Expert Member Joined May 17, 2018 Posts 682 Reaction score 924 Aug 23, 2018 #25 baba swalehe said: Hivi anko magu ni simba au yanga a e i o u Click to expand... Sio simba wala yanga ila yeye malaika mkuu au unaweza kumwita jiwe Sent using Jamii Forums mobile app
baba swalehe said: Hivi anko magu ni simba au yanga a e i o u Click to expand... Sio simba wala yanga ila yeye malaika mkuu au unaweza kumwita jiwe Sent using Jamii Forums mobile app