Tetesi: Yanga kumsajili tena golikipa wao pendwa Ramadhani Kabwili

Tetesi: Yanga kumsajili tena golikipa wao pendwa Ramadhani Kabwili

Kabwili alikiri mwenyewe kujihusisha na vitendo vya ushoga
Alikiri wapi ? Chief acha uongo na ulivyo na akili mbovu umemuingiza priva kwenye huu upumbavu wako tena unaandika kwa kujiamini eti hadi video zake zipo au hii fake id ndio inayokupa kiburi ?
 
Alikiri wapi ? Chief acha uongo na ulivyo na akili mbovu umemuingiza priva kwenye huu upumbavu wako tena unaandika kwa kujiamini eti hadi video zake zipo au hii fake id ndio inayokupa kiburi ?
Mbona zaka za kazi anayo video mtu akiliwa live?
 
Huyo dogo alikuwa kipa mzuri sana ila career yake iliharibiwa na siasa za simba na yanga kwa kusingiziwa skendo ya ushoga...tena kwa hili mashabiki wa simba ndio wanastahili lawama
Kaa kimya hujui chochote, huyo kipa wako hawezi kudakia Yanga kamwe.
 
Kaa kimya hujui chochote, huyo kipa wako hawezi kudakia Yanga kamwe.
Jinga kabisa we ni nani ndani ya yanga mpaka utoe kauli ya kishujaa ilhali we ni shabiki mandazi tu! Wakina hersi wakiona anafaa hata kesho anasajiliwa yanga
 
Jinga kabisa we ni nani ndani ya yanga mpaka utoe kauli ya kishujaa ilhali we ni shabiki mandazi tu! Wakina hersi wakiona anafaa hata kesho anasajiliwa yanga
Nilichokwambia ndio hiko, hawezi kusajiliwa Yanga kolo wewe.
 
Back
Top Bottom