Yanga kumtupa nje Manji na kugeuka kampuni


Huyo tajiri mwingine ni Manji....msitufanye kama sisi hatuna akili vile...
 
Umepuyanga na haujui lolote..bora ungekaa kimya uwaachie wana yanga wenyewe..alafu sidhani kama unamfahamu manji vizuri..kesho angalia kitacho tokea pale..manji ndie anaeenda kupiga watu chini na sio yeye kupokwa timu..
 
***
Huyo atakuwa ni manji katika vazi jingine....
 
Umepuyanga na haujui lolote..bora ungekaa kimya uwaachie wana yanga wenyewe..alafu sidhani kama unamfahamu manji vizuri..kesho angalia kitacho tokea pale..manji ndie anaeenda kupiga watu chini na sio yeye kupokwa timu..
Manji hataki kupingwa wala kuhojiwa kwny maswala muhimu yeye anataka kila jambo akifanya wanajagwan mseme ndio
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji115] yaani kisoma hapo juu hadi mbavu zinauma

Huyo bilionea ni nani vile hahhaha bilioni 50 [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kakodi timu kama lori la mchanga [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Manji mjanja sana kashakujua kuna matajiri walikuwa tayari kununua hisa yanga so yeye alichofanya ni kuchange gia angani hapana chezea muhindi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…