Yanga kupata saini ya Aziz Ki, wamshukuru Mwanadada Hamisa Hassan Mobetto

Yanga kupata saini ya Aziz Ki, wamshukuru Mwanadada Hamisa Hassan Mobetto

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
Kwa wasio fahamu Msukuma Hamisa Hassan Mobetto, alizaliwa alizaliwa Mwanza, Tanzania, Desemba 10, 1994. Ni mwimbaji, mwigizaji, mfanyabiashara, na mwanamitindo

Kumbuka Hamisa ni rafiki Mkubwa wa Aziz Ki japo yanga wanadai ni shemeji yao, mimi sina hizo taarifa. Ninachojua Hamisa ndo alipiga simu moja tu na kusema kwa sauti ya mvuto, "Kama kweli unanipenda usiondoke Yanga. Do you love me? '. Mwisho wa kunukuu
FB_IMG_1720708511645.jpg
 
Yupo Mluga luga Eti anadai na Sijui Kama ni Kweli...!

Eti , Yanga Kuanzia Preliminari ni Aibu Kwa Yanga...!

CAF Waonevu.....!
 
Naona maaumuzi ya Aziz Kii kusaini mkataba mpya yamewaumiza watu wengi sana. Cha kushangaza kuna wachezaji wengi tu muhimu wa Yanga wamesaini mikataba yao upya! Ila maumivu ni kwa Aziz Kii pekee!

Wengine wanatamani wangekuwa ni wazazi wake, wake zake, nk!! Sijui shida iko wapi!!
 
Mwanaume mweusi hanaga akili..akili yake ipo kwa wanawake...angekuwa mweupe kidogo angefutwa mafanikio na sio kxma..duniani kote hamna mwanaume mweusi mwenye akili..dunia yote imejengwa na kuprndezeshwa na mwanaume mweupe,kitechnologi,kisayansi,kiuchumi n.k..mweusi ameachiwa afukuzane na umaskini na wanawake...ndio maana wanaume weupe wanajiamini sana na hawanyenyekei wanawake na hawapendi mapenzi pia.
 
Mwanaume mweusi hanaga akili..akili yake ipo kwa wanawake...angekuwa mweupe kidogo angefutwa mafanikio na sio kxma..duniani kote hamna mwanaume mweusi mwenye akili..dunia yote imejengwa na kuprndezeshwa na mwanaume mweupe,kitechnologi,kisayansi,kiuchumi n.k..mweusi ameachiwa afukuzane na umaskini na wanawake...ndio maana wanaume weupe wanajiamini sana na hawanyenyekei wanawake na hawapendi mapenzi pia.
Ulichoandika kinathibitisha kuwa wewe kweli huna akili

Huwezi kufanya conclusion kwa habari ambayo uhalisia wake huujui


Nani ana uhakika kwamba amerudi kwa ajili ya HM?
 
Kwa wasio fahamu Msukuma Hamisa Hassan Mobetto, alizaliwa alizaliwa Mwanza, Tanzania, Desemba 10, 1994. Ni mwimbaji, mwigizaji, mfanyabiashara, na mwanamitindo

Kumbuka Hamisa ni rafiki Mkubwa wa Aziz Ki japo yanga wanadai ni shemeji yao, mimi sina hizo taarifa. Ninachojua Hamisa ndo alipiga simu moja tu na kusema kwa sauti ya mvuto, "Kama kweli unanipenda usiondoke Yanga. Do you love me? '. Mwisho wa kunukuu
View attachment 3039597
Mtatapatapa sana awamu hii na bado
 
Kwa wasio fahamu Msukuma Hamisa Hassan Mobetto, alizaliwa alizaliwa Mwanza, Tanzania, Desemba 10, 1994. Ni mwimbaji, mwigizaji, mfanyabiashara, na mwanamitindo

Kumbuka Hamisa ni rafiki Mkubwa wa Aziz Ki japo yanga wanadai ni shemeji yao, mimi sina hizo taarifa. Ninachojua Hamisa ndo alipiga simu moja tu na kusema kwa sauti ya mvuto, "Kama kweli unanipenda usiondoke Yanga. Do you love me? '. Mwisho wa kunukuu
View attachment 3039597
Wabongo wape picha tu ,stori watamalizia wenyewe.
 
Kwa wasio fahamu Msukuma Hamisa Hassan Mobetto, alizaliwa alizaliwa Mwanza, Tanzania, Desemba 10, 1994. Ni mwimbaji, mwigizaji, mfanyabiashara, na mwanamitindo

Kumbuka Hamisa ni rafiki Mkubwa wa Aziz Ki japo yanga wanadai ni shemeji yao, mimi sina hizo taarifa. Ninachojua Hamisa ndo alipiga simu moja tu na kusema kwa sauti ya mvuto, "Kama kweli unanipenda usiondoke Yanga. Do you love me? '. Mwisho wa kunukuu
View attachment 3039597
Mwanamme yeyote anayefanya kitu kwa ultimatum ya mwanamke ni dhaifu sana.
 
Kwa wasio fahamu Msukuma Hamisa Hassan Mobetto, alizaliwa alizaliwa Mwanza, Tanzania, Desemba 10, 1994. Ni mwimbaji, mwigizaji, mfanyabiashara, na mwanamitindo

Kumbuka Hamisa ni rafiki Mkubwa wa Aziz Ki japo yanga wanadai ni shemeji yao, mimi sina hizo taarifa. Ninachojua Hamisa ndo alipiga simu moja tu na kusema kwa sauti ya mvuto, "Kama kweli unanipenda usiondoke Yanga. Do you love me? '. Mwisho wa kunukuu
View attachment 3039597
Madanga sio mchezo
 
Unaanzaje kupagawishwa au kupenda makombo ya wanaume wenzio?

Unaanzaje kupenda au kupagawishwa na single maza?

Lijitu lishapelekewa moto huko linakuja kukuhadaa na urembo uchwara.
 
Mwanaume mweusi hanaga akili..akili yake ipo kwa wanawake...angekuwa mweupe kidogo angefutwa mafanikio na sio kxma..duniani kote hamna mwanaume mweusi mwenye akili..dunia yote imejengwa na kuprndezeshwa na mwanaume mweupe,kitechnologi,kisayansi,kiuchumi n.k..mweusi ameachiwa afukuzane na umaskini na wanawake...ndio maana wanaume weupe wanajiamini sana na hawanyenyekei wanawake na hawapendi mapenzi pia.
Kwa hiyo kwa ki kaona mbususu ya mobeyo hawezi kuiachia....dah ila bwana ki anafaidi jamani.

Watapinga wengi ila ukweli ni kwamba wanaume weusi ni useless
 
Sawa dada wa Hamisa Mobetto,bila shaka jamaa wakati anasaini Yanga wewe na mdogo wako mlikuwepo
 
Wa
Mimi ni mwanaume mweupe mwenye elimu kubwa na biashara zake mjini....mimi sio mweusi...uweusi ni ushetani na uchawi..nawajua wanaume weusi hawana akili,tumewaachia wanawake na umaskini.
Ila watu masikini mna mikwara 😂😂 anyway huwezi kua mnyonge pote at least kwenye social media unakua boss
 
Kwa wasio fahamu Msukuma Hamisa Hassan Mobetto, alizaliwa alizaliwa Mwanza, Tanzania, Desemba 10, 1994. Ni mwimbaji, mwigizaji, mfanyabiashara, na mwanamitindo

Kumbuka Hamisa ni rafiki Mkubwa wa Aziz Ki japo yanga wanadai ni shemeji yao, mimi sina hizo taarifa. Ninachojua Hamisa ndo alipiga simu moja tu na kusema kwa sauti ya mvuto, "Kama kweli unanipenda usiondoke Yanga. Do you love me? '. Mwisho wa kunukuu
View attachment 3039597
ila aziz ki yupo overrated sana. tuwe wakweli, faida yake kubwa ni kwamba maadui watapoteza muda na nguvu kuweka attention kwake na wengine wakaleta matokeo, ila ikitokea kahamia simba, wanayanga wanao uwezo mkubwa kumzuia asicheze kabisa kwasababu ashajulikana madhaifu yake mno.
 
Back
Top Bottom