Yanga kupinga CAF /FIFA penalt za Mamelod

Mzee wa Twitter

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2023
Posts
1,483
Reaction score
2,392
Baada ya Mechi kuchezwa kwa dakika 120 bila kufungana ilifika hatua ya Kupiga PENALT 5 kila TIMU.
Katika Hatua hiyo MAMELODI walipata Penalt 3 na kukosa 2 na YANGA walipata Penalt 2 na kukosa 3
na kuifanya MAMELODI kutinga NUSU FAINAL.

Je kwa Matokeo hayo ya kukosa Penalt kuna Uwezekano wa YANGA kuandika Tena barua ya kupinga PENALT za MAMELODI
 
Dakika 120 ?
 
Haikuwa Wakati Wetu Wana-Young Africans, See You Next Time.
 
watulize misambwanda yao waende bwawa la Nyerere kule wakatoe mbinu za kuogelea wanauzoefu.
 
Ujnga ujinga na roho za kimaskini tu ndivyo vinawatesa Kolowizards sababu hawakutegemea kabisa Yanga SC ingewachachafya Masambwanda kisoka mbali na mapungufu ya 3 key players wa kikosi cha kwanza.

Ndiyomaana hawazungumzii kabisa kilichowapata kwa mafarao robo fainali CAFCL 2024 utadhani walikuwa wanacheza see saw [emoji38]
 
"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI" - DR LUC EYMAEL 2020
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…