Yanga kupita kwenda robo simpo tu

Yanga kupita kwenda robo simpo tu

Mi nawashangaa sana watu wanaosema YANGA kuvuka makundi ni ngumu wakati kama YANGA atamfunga Al Hilal kuanzia 3 bila basi hata kuombea hilal apoteze dhidi ya TP Mazembe ili aongoze kundi
.....kama...
Akili huwa haidanganyi penye ukweli. Na ibaki "KAMA"
 
Back
Top Bottom