Yanga kupokea basi kwaajili ya parede ijumaa

sisi
sisi guvu moja lini haya mambo jamani???
 
Kwa nini mnafanya parade kabla ya kwenda Tanga au hamna uhakika wa ushindi kule? Kwa jinsi mlivyoibana ratiba ambayo tayari ilikuwa imebana ni wazi mna wasiwasi mkubwa wa ushindi.
Tukishinda Tanga,litafanyika gwaride jingine balaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…