Yanga kupokea basi kwaajili ya parede ijumaa

Yanga kupokea basi kwaajili ya parede ijumaa

Wanadilishe mbinu hiyo imeshazoeleka imekuwa kero na hakuna watu watakao jaa tena
Kumbe wazungu bado washamba sana aisee, hii ni juzi Belgium.
 

Attachments

  • FB_IMG_1686150653966.jpg
    FB_IMG_1686150653966.jpg
    104.6 KB · Views: 2
sisi
𝗨𝗚𝗔𝗡𝗗𝗔 𝗧𝗢 𝗧𝗔𝗡𝗭𝗔𝗡𝗜𝗔

Timu ya Wananchi Yanga inatarajiwa kulipokea Basi lao Kutoka nchini Uganda siku ya ijumaa kwa ajili shughuli maalumu la kulitembeza "PARADE" kombe lao la Nbc.

#timuyawananchi #daimambelenyumamwiko 🟡🟢
View attachment 2648918
sisi guvu moja lini haya mambo jamani???
 
Kwa nini mnafanya parade kabla ya kwenda Tanga au hamna uhakika wa ushindi kule? Kwa jinsi mlivyoibana ratiba ambayo tayari ilikuwa imebana ni wazi mna wasiwasi mkubwa wa ushindi.
Tukishinda Tanga,litafanyika gwaride jingine balaa
 
Back
Top Bottom