Yanga kupokea basi kwaajili ya parede ijumaa

Yanga kupokea basi kwaajili ya parede ijumaa

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
𝗨𝗚𝗔𝗡𝗗𝗔 𝗧𝗢 𝗧𝗔𝗡𝗭𝗔𝗡𝗜𝗔

Timu ya Wananchi Yanga inatarajiwa kulipokea Basi lao Kutoka nchini Uganda siku ya ijumaa kwa ajili shughuli maalumu la kulitembeza "PARADE" kombe lao la Nbc.

#timuyawananchi #daimambelenyumamwiko 🟡🟢
1686134281067.jpg
 
Kwa nini mnafanya parade kabla ya kwenda Tanga au hamna uhakika wa ushindi kule? Kwa jinsi mlivyoibana ratiba ambayo tayari ilikuwa imebana ni wazi mna wasiwasi mkubwa wa ushindi.
 
Back
Top Bottom