kilimbamula
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 1,792
- 853
Wapenzi wa Yanga wameaswa kujitokeza kwa wingi kwenda kuilaki timu yao pindi itakapowasili nchini kutokea Ghana.
Katika mchezo wa jana Yanga ilipoteza kwa kutandikwa bao 3-1 na timu ya vijana ya Medeama.
Shabiki Juma Hamisi wa tawi la Yanga la Temeke amesema ni busara kwa wapenzi na wanachama kujitokeza kwa wingi ili kuwapa morali wachezaji. "Tunaweza kusonga mbele bado tunayo nafasi aliasema Bw Hamisi".
Kama mtani wao, yangu macho maana hizo hesabu ni ngumu.
Katika mchezo wa jana Yanga ilipoteza kwa kutandikwa bao 3-1 na timu ya vijana ya Medeama.
Shabiki Juma Hamisi wa tawi la Yanga la Temeke amesema ni busara kwa wapenzi na wanachama kujitokeza kwa wingi ili kuwapa morali wachezaji. "Tunaweza kusonga mbele bado tunayo nafasi aliasema Bw Hamisi".
Kama mtani wao, yangu macho maana hizo hesabu ni ngumu.