Yanga kuporomoka na kufa baada ya miaka 10

Yanga kuporomoka na kufa baada ya miaka 10

Kwa hiyo namba moja naona hayo ni mambo ya mpito tu bana na sio ya kufanya Yanga ife. Na hata hiyo namba mbili itakuja baada ya moja kuwepo.

Kwa mbaali nimejikuta nawaza tu Mikia bila Yanga maisha yenu yatakuwaje. Maana sisi ndio tunawapaga vidomo domo huko mtaani.
 
Hii post kuna watu wataipuuza na kutoa povu lakini ina uhalisia mkubwa. Mtoa post ametoa tahadhar nzuri tu, hasa kwenye upande wa kuwa na wapenzi wengi. Simba kwa sasa ina wapenzi wengi kuliko yanga. Najua kuna watakaobisha ila hainisumbui. Ukifanya utafiti, tangu tuingie karne ya 21, Simba imeifunga sana yanga na washabiki wake wako nyuma ya timu pamoja na kufanya vibaya. Simba haikuchukua ubingwa misimu minne lakini bado imefanikiwa kuongeza wapenzi wengi. Na ujio wa manara ndio umeongezea kuvuna washabiki zaidi kutoka kwa wanawake na watoto. Na wakiendelea kusajili wachezaji wakali na wenye mbwembwe, yanga itakuwa kama Liverpool isipojipanga! Na kinachowaua zaidi, hawataki kukubali kuwa timu yao haikosawa. Wakiendelea na hizi akili za kijinga za timu ya wananchi huku hakuna maendeleo yoyote. Ijiandae kuwa Liverpool ya bongo kwa kushabikiwa na vibabu! Sasa hivi ushindi wa yanga kwa Simba ni sare! Jipangeni!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hivi manara ameongezaje mashabiki wa simba? kuna watanzania wangapi wako kwenye mitandao ya kijamii?
 
Poleni sana Yanga na Hongereni sana Mnyama Simba.
Naomba nitoe maoni yangu kama mtanzania huru na ingawa ninayo timu yangu baina ya Simba au Yanga .
Hasa napenda kueleza juu ya mustakabali wa Yanga miaka kumi ijayo katika ulimwengu huu wa maendeleo ya teknolojia ya habari na mawasiliano kuna vitu au biashara zitaathirika kama zitashindwa kuendana na hali ya sasa.

Hili ndili ninao liona kwa Yanga kuwa wameshinda kuendana na hali ya sasa na kumuachia Simba kutawala media. Hli linadhihirika kwa kuangalia morari ya Mashabikiwa Yanga inavyo shuka kila uchwao pamoja na Yanga kuwa kinara katika ligi kuu lakini wameshindwa kutamba mbele ya Simba hata huko mtaani. Kuna Makosa ambayo Yanga wanafanya.

1.Kukosa uwekwezaji unao eleweka kwa ajili ya kuendesha timu.Hii imefanya kuonekana ni timu isiyo jielewa na kupoteza muelekeo.

2.Kukosa Uhamasishaji, pamoja na hali hiyo lakini Yanga inao mashabiki wenye uzalendo wa kweli, tumeona mashabiki wamenzisha kampeni ya Bakuli la changia Yanga hata kabla ya viongozi kuliona hilo. Pamoja na mengine mengi Yanga haina Msemaji wala muhamasishaji, Dismas Ten anapwaya sana. Nina amini wana Yanga wangeweza kuchangia na kuendesha Timu kama Jerry Muro angekuwepo. Yanga inahitaji kuitangaza timu na harakati zake. Hakuna hamasa kabisa.

Katika uringo wa Soka na hamasa Simba wamefanikiwa sana ndio maana leo Simba inajaza Mashabiki zaidi ya Yanga.
Simba inatangazwa kwa kila rika kuanzia kwa watoto mpaka wazee. Simba imekuwa kivution kwa jamii ya Wanawake wengi hapa nchini. Kwasasa kila Mwanamke anaye shabikia Simba anataka na wanaye wawe Simba. Watoto wenye umri kuanzia miaka mitano wote wanakua wakisikia Simba Simba Simba. Baada ya Miaka kumi mbele Vijana karibu wote watakua ni Mahsbiki wa simba pia kutakuwa na Ongezeko la mashabiki wa kike kushabikia Simba.

Kama Yanga itashindwa kushindana na Simba itafanya Yanga kuwa Wanyonge mbele ya simba huko baadae wakati ambapo Simba itapo imarika zaidin na hat kufikia hatua amabapo Yanga itakosa mvuto kwa wawekezaji. Kama yanga itakosa Mashabiki ni wazi itakua timu ya kawaida sana kama Namungo FC .Kuna uwezekano Masbiki wa Yanga wakahamia kwa Azam ili kupata tumaini la kupooza nafsi.

Ni vema Yanga wakatafakari kwa makini kwa faida ya Baadae.
Wre utakuwa unafikiria kupitia kile kiungo Alichokisema Masabuli si bure
 
Hii post kuna watu wataipuuza na kutoa povu lakini ina uhalisia mkubwa. Mtoa post ametoa tahadhar nzuri tu, hasa kwenye upande wa kuwa na wapenzi wengi. Simba kwa sasa ina wapenzi wengi kuliko yanga. Najua kuna watakaobisha ila hainisumbui. Ukifanya utafiti, tangu tuingie karne ya 21, Simba imeifunga sana yanga na washabiki wake wako nyuma ya timu pamoja na kufanya vibaya. Simba haikuchukua ubingwa misimu minne lakini bado imefanikiwa kuongeza wapenzi wengi. Na ujio wa manara ndio umeongezea kuvuna washabiki zaidi kutoka kwa wanawake na watoto. Na wakiendelea kusajili wachezaji wakali na wenye mbwembwe, yanga itakuwa kama Liverpool isipojipanga! Na kinachowaua zaidi, hawataki kukubali kuwa timu yao haikosawa. Wakiendelea na hizi akili za kijinga za timu ya wananchi huku hakuna maendeleo yoyote. Ijiandae kuwa Liverpool ya bongo kwa kushabikiwa na vibabu! Sasa hivi ushindi wa yanga kwa Simba ni sare! Jipangeni!

Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kujidanganya,hao wapenzi walikuwa wapi kuisaidia simba miaka kama mitano ya msoto? Yanga Saiz inaendeshwa na nguvu ya umma kila mkoa wanapoenda,kujaza uwanja wa Taifa siyo conclusion ya Mikia kuwa wengi
 
Umeongea point mkuu, tena haji akaenda hadi kwa nape nauye kushitaki eti ooh, jery kanitolea lugha chafu, sasa msemaji wao anaonekana sababu timu inafanya vizur, na kuhusu viporo wao waligoma kucheza hadi yanga na azam wacheze,leo wao wana viporo 9, na wanaona sawa tu,

Sent using Jamii Forums mobile app
Leo Kuna timu zimebakisha game 10 ,simba ana 21,halafu jitu linaongea utumbo wa nguruwe hapa
 
Poleni sana Yanga na Hongereni sana Mnyama Simba.
Naomba nitoe maoni yangu kama mtanzania huru na ingawa ninayo timu yangu baina ya Simba au Yanga .
Hasa napenda kueleza juu ya mustakabali wa Yanga miaka kumi ijayo katika ulimwengu huu wa maendeleo ya teknolojia ya habari na mawasiliano kuna vitu au biashara zitaathirika kama zitashindwa kuendana na hali ya sasa.

Hili ndili ninao liona kwa Yanga kuwa wameshinda kuendana na hali ya sasa na kumuachia Simba kutawala media. Hli linadhihirika kwa kuangalia morari ya Mashabikiwa Yanga inavyo shuka kila uchwao pamoja na Yanga kuwa kinara katika ligi kuu lakini wameshindwa kutamba mbele ya Simba hata huko mtaani. Kuna Makosa ambayo Yanga wanafanya.

1.Kukosa uwekwezaji unao eleweka kwa ajili ya kuendesha timu.Hii imefanya kuonekana ni timu isiyo jielewa na kupoteza muelekeo.

2.Kukosa Uhamasishaji, pamoja na hali hiyo lakini Yanga inao mashabiki wenye uzalendo wa kweli, tumeona mashabiki wamenzisha kampeni ya Bakuli la changia Yanga hata kabla ya viongozi kuliona hilo. Pamoja na mengine mengi Yanga haina Msemaji wala muhamasishaji, Dismas Ten anapwaya sana. Nina amini wana Yanga wangeweza kuchangia na kuendesha Timu kama Jerry Muro angekuwepo. Yanga inahitaji kuitangaza timu na harakati zake. Hakuna hamasa kabisa.

Katika uringo wa Soka na hamasa Simba wamefanikiwa sana ndio maana leo Simba inajaza Mashabiki zaidi ya Yanga.
Simba inatangazwa kwa kila rika kuanzia kwa watoto mpaka wazee. Simba imekuwa kivution kwa jamii ya Wanawake wengi hapa nchini. Kwasasa kila Mwanamke anaye shabikia Simba anataka na wanaye wawe Simba. Watoto wenye umri kuanzia miaka mitano wote wanakua wakisikia Simba Simba Simba. Baada ya Miaka kumi mbele Vijana karibu wote watakua ni Mahsbiki wa simba pia kutakuwa na Ongezeko la mashabiki wa kike kushabikia Simba.

Kama Yanga itashindwa kushindana na Simba itafanya Yanga kuwa Wanyonge mbele ya simba huko baadae wakati ambapo Simba itapo imarika zaidin na hat kufikia hatua amabapo Yanga itakosa mvuto kwa wawekezaji. Kama yanga itakosa Mashabiki ni wazi itakua timu ya kawaida sana kama Namungo FC .Kuna uwezekano Masbiki wa Yanga wakahamia kwa Azam ili kupata tumaini la kupooza nafsi.

Ni vema Yanga wakatafakari kwa makini kwa faida ya Baadae.
Acha kwanza huo mfumo wa mikia ufanye kazi japo miaka michache ndiyo uje na hizi hadithi.
Utaishia Yanga itakuwepo tu.
 
Back
Top Bottom