Yanga kushindwa kutinga robo fainali sababu kubwa

Yanga kushindwa kutinga robo fainali sababu kubwa

Moshi25

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2022
Posts
2,555
Reaction score
4,118
Yanga ni timu bora sana, tumeshindwa kufuzu robo fainali Klabu bingwa Africa sababu ya kupoteza kizembe mchezo wa kwanza nyumbani dhidi ya Al Hilal na baadae kufungwa ugenini na Mc Alger hivyo kulazimika kucheza kwa presha kubwa na ufundi kupungua kwenye mechi zilizokuwa mbele yetu.

Tukumbuke kuwa mechi za mwanzo klabu bingwa tulifungwa kwa kuwakosa mabeki wetu imara zaidi Job na Baka ikimaanisha kuwa kocha mpya Saed Ramovich anapaswa kuwapumzisha hawa vitasa katika mechi ndogo na kuweka wale wasiocheza kama Nondo, Gift, Andambwile, Mkude, Sureboy , Farid, Shehani, Nkane na Kibabage ili na wao wawe fit mda wote ili wapambane inapotokea wanalazimika kuwepo mechi kubwa, hili ni kosa la Gamondi kuchezesha kikosi kimoja kila mechi na kukosesha fitness wachezaji wa benchi , kosa lisilopaswa kuendelezwa , Yanga ina kikosi kipana ni vizuri wachezaji wote watumike ili wawe fit mda wote kukabiliana na mechi yoyote inapobidi.

Hakuna mchawi, hakuna lawama, tayari tumetolewa tujipange upya, biashara ni asubuhi, tulichemka wenyewe, hatukufanya maandalizi sahihi yanayoendana na ukubwa wa mashindano ya klabu bingwa Africa, tumepoteza leo ila tumejifunza pakubwa sana kuwa morali ya wachezaji lazima iwe juu kuanzia mechi ya kwanza na lazima tushinde mechi mbili za mwanzo , Yanga tuna uhakika msimu ujao tumo tena Klabu bingwa Africa , ujinga wakati wa kwenda, basi tukapambane kuanzia mechi za mwanzo kufia uwanjani kama jinsi tulicheza na TP Mazembe kwa Mkapa kwa ari kubwa nami nilikuwemo uwanjani na wanangu wakipuliza mavuvuzela kwa nguvu, msimu ujao klabu bingwa Africa ni lazima tuvune points 6 mapema. Ni lazima tushinde mechi tatu jumla, Yanga ni timu kali, uwezo huo wa kushinda tunao wachezaji wakiamua kujitoa, Mechi zile mbili za mwanzo tulipaswa kuvuna angalau points 4! Tunaomba wachezaji waamue kufungwa tena nyumbani iwe mwiko. Ni vizuri wachezaji wakitambua kufungwa nyumbani haikubaliki na huondoa mzuka wa mashabiki kuja uwanjani. Ushindi pekee huleta mashabiki uwanjani, wachezaji wanao huo uwezo wa kushinda timu yoyote iwe kubwa au ndogo wakiamua , kama jinsi niliona walipocheza na mazembe, kila mchezaji aliitaka mechi, moto wa siku ile ndio Yanga ninayoijua hakuna kushindwa, timu kubwa Africa na duniani unafungwaje kizembe na Al Hilal, tena kwenu? Hii haikubaliki. Hii haipaswi kutokea tena.

Soma Pia: FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

Leo haijauma sana sababu hesabu za calculator na kikokotoo huwa hazina guarantee, ni pata potea. Na kweli tumeliwa kichwa ila sio mwisho wa safari.

Hongera sana wachezaji wa Yanga mmepambana sana ila mlitukosea sana mashabiki baada ya kuruhusu kizembe kufungwa mechi ya kwanza tena nyumbani na hapo binafsi nilijua msimu huu si wetu na niliongea humu jukwaani kuwa tuko fungu la kukosa, I am now at peace because tumevuna tulichopanda. Binafsi nilijua hatutoboi na nilisema humu jf na ndicho kimetokea.

Yanga tumepata kocha bora, Saed Ramovich ni mtu na nusu, makali yetu yataleta kilio kwa kila mpinzani , ni suala la muda tu, kombe la klabu bingwa Africa ni mali yetu.

Tukamalize hasira kwa kuvunja vunja makolo kwenye derby na kubeba kombe letu la NBC premier league.
 
Kuna shabiki wa utopolo nilikua nimekaa nae karibu kamtukana kocha huku macho kayatoa, "Huyu kocha si amuingize Kibu Dennis ndio dakika zake, nikamjibu kwa upole Kibu Dennis haruhusiwi kucheza huku kwani yeye yuko Simba namuona kanyweea huku akivuta punzi ndefu🤣🤣🤣
 
Malengo ya timu yametimia zingine ni tamaa tu nb maji ya dafu hayanywei kwenye glass.
 
Yanga ni timu bora sana, tumeshindwa kufuzu robo fainali Klabu bingwa Africa sababu ya kupoteza kizembe mchezo wa kwanza nyumbani dhidi ya Al Hilal na baadae kufungwa ugenini na Mc Alger hivyo kulazimika kucheza kwa presha kubwa na ufundi kupungua kwenye mechi zilizokuwa mbele yetu.

Hakuna mchawi, hakuna lawama, biashara ni asubuhi, tulichemka wenyewe, tumepoteza leo ila tumejifunza pakubwa, tuna uhakika msimu ujao tumo tena Klabu bingwa, ujinga wakati wa kwenda, basi tukapambane kuanzia mechi za mwanzo kufia uwanjani tuvune points mapema. Mechi zile mbili tulipaswa kuvuna points 4!

Soma Pia: FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

Leo haijauma sana sababu hesabu za calculator na kikokotoo huwa hazina guarantee, ni pata potea.

Hongera sana wachezaji mmepambana sana ila msimu huu baada ya kufungwa mechi ya kwanza tena nyumbani binafsi nilijua si wetu na niliongea humu jukwaani, I am at peace.

Tukamalize hasira kwa kuvunja vunja makolo kwenye derby.
Yanga angeshinda maana yake MC Alger angekuwa ametolewa wakati (Alger) alihitaji sare tu kuingia robo fainali huku Yanga ikihitaji ushindi. Hakuna mzembe angeruhusu hilo. Yanga walipaswa kujipanga badala ya maneno ya kike kwenye media.
 
Yanga ni timu bora sana, tumeshindwa kufuzu robo fainali Klabu bingwa Africa sababu ya kupoteza kizembe mchezo wa kwanza nyumbani dhidi ya Al Hilal na baadae kufungwa ugenini na Mc Alger hivyo kulazimika kucheza kwa presha kubwa na ufundi kupungua kwenye mechi zilizokuwa mbele yetu.

Hakuna mchawi, hakuna lawama, biashara ni asubuhi, tulichemka wenyewe, tumepoteza leo ila tumejifunza pakubwa, tuna uhakika msimu ujao tumo tena Klabu bingwa, ujinga wakati wa kwenda, basi tukapambane kuanzia mechi za mwanzo kufia uwanjani tuvune points mapema. Mechi zile mbili tulipaswa kuvuna points 4!

Soma Pia: FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

Leo haijauma sana sababu hesabu za calculator na kikokotoo huwa hazina guarantee, ni pata potea.

Hongera sana wachezaji mmepambana sana ila msimu huu baada ya kufungwa mechi ya kwanza tena nyumbani binafsi nilijua si wetu na niliongea humu jukwaani, I am at peace.

Tukamalize hasira kwa kuvunja vunja makolo kwenye derby.
 
Sio swala la kuchemka , hamna uwezo vyura nyie mkiambiwa iheshimuni simba hamuelewi mwakakundi nyie
 
Unajua uwekezaji wa Al hilal na algers ni Dola ngapi???
Unajua uwekezaji wa Man Utd Man City, Real Madrid ni kiasi Gani?
Yanga wamepata Matokeo ya Mpira.
Kuna wakati utakua na Kila kitu ila hautapata Matokeo unayo yataka ndivyo soka lilivyo.
Jana Al Ahly alikua yupo nyubani na anacheza na Orlando Pirate Lengo lilikua washinde waongoze Kundi.
Kumbuka Budget ya Ahly hakuna klabu yoyote Africa inayo lingana nayo.
Matokeo ndani ya Uwanja Al Ahly kafungwa 2 -1 na mpira wa Orlando ulikua moto.
Hivyo ndivyo Soka lilivyo, Kuna wakati hupati unacho stahili bahati Ina amua.
 
Msitafute mchawi yote haya yamesababishwa na mambo yafuatayo;

1.Usajili wa kukomoana(mihemko).Hakukuwa na haja ya Yanga kuwasajili Chama , Baleke na Dube . Hizo sajili zililenga kuwakomoa simba na Azam lakini ukweli ni kwamba uwezo wao kwa sasa ni mdogo mno.

2.Unywaji wa supu ya vibudu kupita kiasi.Mungu hapendi hii kitu ila mnalazimisha tu. Wachezaji walilewa sifa na kujiona wanaweza Sana wakasahau majukumu yao

3.Ununuaji wa mechi kwa timu za ligi kuu ya NBC umewafanya mjione mna timu nzuri kumbe ushindi wa mchongo hali inayosababisha mshindwe kubaini madhaifu yenu.

4.Marefa wa NBCPL wamewadekeza Sana wachezaji wenu . Hata wakifanya makosa ya wazi wao ni kufunika tu.Rejea mechi ya simba vs Yanga , Kibu alifanyiwa makosa zaidi ya mara mbili ndani ya 18 lakini Kayoko akapeta.Hali hii husabisha washindwe kujiamini wanapochezeshwa na marefa wa nje.

5. Timu ina vibabu wengi mno. Chama 37+
Aucho 37+
Dube 33+
Boka Njolinjoli 32+
Pacome 32+
Diara 33+
 
Yanga angeshinda maana yake MC Alger angekuwa ametolewa wakati (Alger) alihitaji sare tu kuingia robo fainali huku Yanga ikihitaji ushindi. Hakuna mzembe angeruhusu hilo. Yanga walipaswa kujipanga badala ya maneno ya kike kwenye media.
Mbona Guinea aliruhusu hilo mbele ya stars ?? Hii kitu siyo siyo kuruhusu bali unalazimishwa kiuhalisia mechi za maamuzi kama hizi zinataka wachezaji kujitoa na kujitambua wanaenda kufanya nini uwanjani pia hata kocha kuwa na mbinu zaidi ya moja ,, fullback za pembeni muda wote wakipata mpira wao wanafikiria cross tu ili hali unaona warukaji vichwa huna , mbinu na morali za kupambania nembo zilikuwa poor sana
 
Yanga angeshinda maana yake MC Alger angekuwa ametolewa wakati (Alger) alihitaji sare tu kuingia robo fainali huku Yanga ikihitaji ushindi. Hakuna mzembe angeruhusu hilo. Yanga walipaswa kujipanga badala ya maneno ya kike kwenye media.
Mbona Guinea aliruhusu hilo mbele ya stars ?? Hii kitu siyo siyo kuruhusu bali unalazimishwa kiuhalisia mechi za maamuzi kama hizi zinataka wachezaji kujitoa na kujitambua wanaenda kufanya nini uwanjani pia hata kocha kuwa na mbinu zaidi ya moja ,, fullback za pembeni muda wote wakipata mpira wao wanafikiria cross tu ili hali unaona warukaji vichwa huna , mbinu na morali za kupambania nembo zilikuwa poor sa
 
Yanga angeshinda maana yake MC Alger angekuwa ametolewa wakati (Alger) alihitaji sare tu kuingia robo fainali huku Yanga ikihitaji ushindi. Hakuna mzembe angeruhusu hilo. Yanga walipaswa kujipanga badala ya maneno ya kike kwenye media.
Mbona Guinea aliruhusu hilo mbele ya stars ?? Hii kitu siyo siyo kuruhusu bali unalazimishwa kiuhalisia mechi za maamuzi kama hizi zinataka wachezaji kujitoa na kujitambua wanaenda kufanya nini uwanjani pia hata kocha kuwa na mbinu zaidi ya moja ,, fullback za pembeni muda wote wakipata mpira wao wanafikiria cross tu ili hali unaona warukaji vichwa huna , mbinu na morali za kupambania nembo zilikuwa poor
Msitafute mchawi yote haya yamesababishwa na mambo yafuatayo;

1.Usajili wa kukomoana(mihemko).Hakukuwa na haja ya Yanga kuwasajili Chama , Baleke na Dube . Hizo sajili zililenga kuwakomoa simba na Azam lakini ukweli ni kwamba uwezo wao kwa sasa ni mdogo mno.

2.Unywaji wa supu ya vibudu kupita kiasi.Mungu hapendi hii kitu ila mnalazimisha tu. Wachezaji walilewa sifa na kujiona wanaweza Sana wakasahau majukumu yao

3.Ununuaji wa mechi kwa timu za ligi kuu ya NBC umewafanya mjione mna timu nzuri kumbe ushindi wa mchongo hali inayosababisha mshindwe kubaini madhaifu yenu.

4.Marefa wa NBCPL wamewadekeza Sana wachezaji wenu . Hata wakifanya makosa ya wazi wao ni kufunika tu.Rejea mechi ya simba vs Yanga , Kibu alifanyiwa makosa zaidi ya mara mbili ndani ya 18 lakini Kayoko akapeta.Hali hii husabisha washindwe kujiamini wanapochezeshwa na marefa wa nje.

5. Timu ina vibabu wengi mno. Chama 37+
Aucho 37+
Dube 33+
Boka Njolinjoli 32+
Pacome 32+
Diara 33+
Kwani kuwa babu kwenye timu ni kosa ?? Hata kwenye familia yenu hampo vijana tu wapo na hao vibabu ndiyo wanaowapa mawaidha ,,na ukumbuke kuwa hata bibi alikuwa binti nawe utakuwa kibabu hivyo hivyo
 
Back
Top Bottom