OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Habari za Yanga kusajiri kikosi tishio zilivuma sana. Maelfu ya mashabiki wakavamia airport kupokea professional players. Msemaji wao akaitangazia dunia wamesajiri kikosi cha bilioni 3.
Najaribu kujiuliza kutoka kote huko mpaka kulilia penati dhidi ya Kagera Sukari.
Next game, Mtibwa nayo ni sukari