OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hahahaha next week tena na sukari
View attachment 1705768
Habari za Yanga kusajiri kikosi tishio zilivuma sana. Maelfu ya mashabiki wakavamia airport kupokea professional players. Msemaji wao akaitangazia dunia wamesajiri kikosi cha bilioni 3.
Najaribu kujiuliza kutoka kote huko mpaka kulilia penati dhidi ya Kagera Sukari.
View attachment 1705796
Next game, Mtibwa nayo ni sukari
Kwani yanga ina maendeleo?Inawezekana wewe ukawa ni Mtanzania anayeumizwa zaidi na maendeleo ya Yanga.
if symptoms persist, seek medical advice!!!Kwanza zile Bilion 20 mlipewa??
Mwamedi mjanja Sana
onyesha hayo maendeleoInawezekana wewe ukawa ni Mtanzania anayeumizwa zaidi na maendeleo ya Yanga.
Hawa wajinga watavaa vijola hadi ligi inakwisha
View attachment 1705768
Habari za Yanga kusajiri kikosi tishio zilivuma sana. Maelfu ya mashabiki wakavamia airport kupokea professional players. Msemaji wao akaitangazia dunia wamesajiri kikosi cha bilioni 3.
Najaribu kujiuliza kutoka kote huko mpaka kulilia penati dhidi ya Kagera Sukari.
View attachment 1705796
Next game, Mtibwa nayo ni sukari
Kama matumaini yenyewe unayabeba kupitia kwa mchezaji Kama Sarpong hapo si matumaini hewa tu hayo?Tatizo ni kwamba Utopolo walibeba matumaini makubwa kuzidi uwezo wa Timu yao sasa wanaishia kulialia
HahahahhaKama matumaini yenyewe unayabeba kupitia kwa mchezaji Kama Sarpong hapo si matumaini hewa tu hayo?