wakimataifa
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 942
- 168
Kuna habari kuwa kombe la Kagame Yanga hatoshiriki.
Madai kwa namna moja mwaka jana aliwakataa yanga kutoshiriki baada ya hapo alitoa maneno makali sana na kuifedhuri yeye musonye anafikiri yanga ni timu ya binasfi hii timu ni ya wananchi wa tanzania na isitoshe mashindano hayo hayana manufaa yoyote
Madai kwa namna moja mwaka jana aliwakataa yanga kutoshiriki baada ya hapo alitoa maneno makali sana na kuifedhuri yeye musonye anafikiri yanga ni timu ya binasfi hii timu ni ya wananchi wa tanzania na isitoshe mashindano hayo hayana manufaa yoyote