Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Siwezi kukuongopea.
Sijacheza sana soka kwa kuwa ilitupasa kuchagua kati ya shule ama michezo... Hapa kwetu wachezaji wengi hawakupita shule kwa sababu hiyo.
Nimekuwa kocha wa timu za shule na chuo, na sasa niko kwenye utawala wa Soka la Bongo.
Mwenzangu umeshawahi kucheza?
Yeah, nimecheza sana huko mashuleni.Kuanzia Primary hadi O level. Baada ya hapo nikawa busy maana sikupata muda wa kujishughulisha na soka tena.