Yanga kutotumia dressing room leo

Nyuma Mwiko ndio wenyeji na ndio wanaoratibu karibia kila kitu kwenye maandalizi ya hii mechi.

Lakini si ajabu ukaona wakaingia uwanjani kupitia dirishani au wakiingia kinyume nyume.
Hizi mechi zinakua chini ya bodi ya ligi tofauti na zile za mashindano ya CAF.

Ndio maana hata viingilio vinapangwa na bodi ya ligi.
 
Nyuma Mwiko ndio wenyeji na ndio wanaoratibu karibia kila kitu kwenye maandalizi ya hii mechi.

Lakini si ajabu ukaona wakaingia uwanjani kupitia dirishani au wakiingia kinyume nyume.
Tatizo Simba sio wa kuwaamini. Kwa ushirikina wana Masters.

Ila leo mtani jiandae kwa lolote
 
Na wao ndio wenyeji wa mchezo Simba sasa afanyeje wkt yy nimualikwa,means hata upande wa pili hakuko salama
 
Hongereni sana yanga kwa ku avoid 442.

Tungejikanyaga kuingia kwenye dressing room tungelegea kama jwaneng.
 
Hongereni sana yanga kwa ku avoid 442.

Tungejikanyaga kuingia kwenye dressing room tungelegea kama jwaneng.
Bahati nzuri nyie ndo mliandaa mchezo,so mliwahi pia kufika uwanjani..utopolo uloandika hapa sjui umeutoa wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…