Hizo gharama siyo za msingi wakati issue ya Aziz Ki imetushinda bora tungechangia hana tumbakize Ki Azi“Helikopta ya parade la ubingwa itaanza safari yake majira ya saa nne asubuhi ikiwa imebeba kombe, itapita maeneo mbalimbali jiji la Dar Es Salaam. Tumempa Rubani maelekezo kuna maeneo akifika pale Kariakoo, aishushe chini kidogo ili kila mtu ashuhudie parade la angani. Baadae mchana Helikopta hiyo itashuka ndani ya Uwanja wa Mkapa na sisi Wananchi ndio Tutalipokea Kombe Letu, Niwaombe Mashabiki wa Yanga kuwahi mapema uwanjani tushuhudie Tukio hili kubwa la Kihistoria,” Ally Kamwe
#SisiNiMashahidiTu
#hallaywsmm[emoji1241]View attachment 2997422
Bahati mbaya kutakua na ukungu siku hio.“Helikopta ya parade la ubingwa itaanza safari yake majira ya saa nne asubuhi ikiwa imebeba kombe, itapita maeneo mbalimbali jiji la Dar Es Salaam. Tumempa Rubani maelekezo kuna maeneo akifika pale Kariakoo, aishushe chini kidogo ili kila mtu ashuhudie parade la angani. Baadae mchana Helikopta hiyo itashuka ndani ya Uwanja wa Mkapa na sisi Wananchi ndio Tutalipokea Kombe Letu, Niwaombe Mashabiki wa Yanga kuwahi mapema uwanjani tushuhudie Tukio hili kubwa la Kihistoria,” Ally Kamwe
#SisiNiMashahidiTu
#hallaywsmm[emoji1241]View attachment 2997422
Usajili wa dirisha dogo kuwatoa phili na baleke then Jobe na fred ni kosa kubwa sanaaKwnn mkuu
Akili ya Ajabu sana aisee sijapata kuona.Sijui waliwaza nn