OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kiukweli hilo kolokolo waliloweka hakuna wa kulisoma imekula kwa m2Duh....! Huo Ujumbe begani ulivyo mdogo atauona nani?
Mkataba Waliosani Unasemaje?
Anyway Wacha Watumie, wajilinganishe na True African Giant from Tanzania S.S.C.
nani kakudanganya?Si wanalipwa ? Haya mambo bila kujua behind the scenes ni vigumu kutoa comment yenye tija
By the way watalii wa ndani wanahitajika
Haki ya nani hawa GSM watakuwa Simba [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wameigeuza taasisi nzima ya utopolo kama their private marketing tool kutangaza biashara zao nyingi bila mikataba yoyote na kupuuzia kabisa maendeleo ya timu ndani ya uwanja [emoji1787][emoji1787]
ndio maana hakuona ugumu kumuingiza Manara Utopolo. Yanga lialia hawezi kufanya huo ujingaSio watakua Simba, GSM ni Simba kindakindaki hata utopolo wenyewe wanalijua hilo
Sasa mechi ya ndani unatumiaje Tena visit Tanzania wakati wewe ni utopolo?Si wanalipwa ? Haya mambo bila kujua behind the scenes ni vigumu kutoa comment yenye tija
By the way watalii wa ndani wanahitajika
Wewe ulishatembelea Tanzania Yote ?Sasa mechi ya ndani unatumiaje Tena visit Tanzania wakati wewe ni utopolo?
Wewe ulishatembelea Tanzania Yote ?
Waandike kiswahili sasaSi wanalipwa ? Haya mambo bila kujua behind the scenes ni vigumu kutoa comment yenye tija
By the way watalii wa ndani wanahitajika