Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Dalili zipo wazi Yanga imetepeta mno,hata nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu ni shida.
Kwa upande wa Azam Conf. Cup Yanga watatolewa mapema .
Yanga tangu mechi ya march 8 kuifunga Simba ni kama imechanganyikiwa,Sijawahi kuona akili za kijinga hivi za wanayanga wameshindwa kufocus games zilizo mbele zao wanasherekea goli ya tar 8,wanafungwa kila siku lakini wamefocus tar 8 march badala ya mechi zijazo.
Simba wanachukua ubingwa wao wanashangilia mechi ya tar 8, azam conf Itachukuliwa pia wao bado wanashangilia bao la march 8 ,hizi ni akili au matope?
Halafu hiyo mentality ikawaingia hadi viongozi wao na wachezaji kwamba kumfunga simba wamemaliza ligi.
Mmebakiwa na azam conf. Cup endeleeni kushangilia march 8,Kimataifa mtasikilizia kwa wengine
Kwa upande wa Azam Conf. Cup Yanga watatolewa mapema .
Yanga tangu mechi ya march 8 kuifunga Simba ni kama imechanganyikiwa,Sijawahi kuona akili za kijinga hivi za wanayanga wameshindwa kufocus games zilizo mbele zao wanasherekea goli ya tar 8,wanafungwa kila siku lakini wamefocus tar 8 march badala ya mechi zijazo.
Simba wanachukua ubingwa wao wanashangilia mechi ya tar 8, azam conf Itachukuliwa pia wao bado wanashangilia bao la march 8 ,hizi ni akili au matope?
Halafu hiyo mentality ikawaingia hadi viongozi wao na wachezaji kwamba kumfunga simba wamemaliza ligi.
Mmebakiwa na azam conf. Cup endeleeni kushangilia march 8,Kimataifa mtasikilizia kwa wengine