Yanga kutupwa nje ya Azam Conf. Cup

Yanga kutupwa nje ya Azam Conf. Cup

Dalili zipo wazi Yanga imetepeta mno,hata nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu ni shida.

Kwa upande wa Azam Conf. Cup Yanga watatolewa mapema .

Yanga tangu mechi ya march 8 kuifunga Simba ni kama imechanganyikiwa,Sijawahi kuona akili za kijinga hivi za wanayanga wameshindwa kufocus games zilizo mbele zao wanasherekea goli ya tar 8,wanafungwa kila siku lakini wamefocus tar 8 march badala ya mechi zijazo.

Simba wanachukua ubingwa wao wanashangilia mechi ya tar 8, azam conf Itachukuliwa pia wao bado wanashangilia bao la march 8 ,hizi ni akili au matope?
Halafu hiyo mentality ikawaingia hadi viongozi wao na wachezaji kwamba kumfunga simba wamemaliza ligi.

Mmebakiwa na azam conf. Cup endeleeni kushangilia march 8,Kimataifa mtasikilizia kwa wengine
Nawaombea yanga wapite leo huko mbele wakitane ma simba azam conf. Cup...
 
Mkuu Yanga tulitetereka kidogo kwenye mechi mbili tatu, nakuhakikishia sasa hivi hatutafanya makosa tena.
Tunachukua kombe la ligi kuu Simba hawataamini macho yao.

Daima mbele
Duh ama kweli akili yenu inatia shaka kama kweli mko sawa.
 
Mimi nilifikiri Itakua vizuri Yanga ishinde mechi yake ya FA na Simba ashinde mechi yake ya FA ili wakutane fainali, alafu Simba ipate nafasi nzuri ya kulipiza kisasi cha tarehe 8.
Hapo kwenye Yanga kuishinda Kagera Sugar kwenye FA, ndio mtihani mkubwa kuliko kumuomba msamaha Molinga
 
Nawaombea yanga wapite leo huko mbele wakitane ma simba azam conf. Cup...
Naona unaombea kama mlivyokuwa mnaombea mwanzoni na kudai tulipataje pataje... na kwa bahati mzuri mlivyokutana nao tena wakawajibu waliipataje pataje!
 
Leo simba tuwashangilie yanga washinde ili tukutane nao tuwafanyie ubaya maana wanachonga sana
 
Dalili zipo wazi Yanga imetepeta mno,hata nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu ni shida.

Kwa upande wa Azam Conf. Cup Yanga watatolewa mapema .

Yanga tangu mechi ya march 8 kuifunga Simba ni kama imechanganyikiwa,Sijawahi kuona akili za kijinga hivi za wanayanga wameshindwa kufocus games zilizo mbele zao wanasherekea goli ya tar 8,wanafungwa kila siku lakini wamefocus tar 8 march badala ya mechi zijazo.

Simba wanachukua ubingwa wao wanashangilia mechi ya tar 8, azam conf Itachukuliwa pia wao bado wanashangilia bao la march 8 ,hizi ni akili au matope?
Halafu hiyo mentality ikawaingia hadi viongozi wao na wachezaji kwamba kumfunga simba wamemaliza ligi.

Mmebakiwa na azam conf. Cup endeleeni kushangilia march 8,Kimataifa mtasikilizia kwa wengine
Alafu mnatolewa awali kama na UD SONGO
 
Back
Top Bottom