Yanga kutwaa kombe la ligi bila kufungwa

ivan don

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2017
Posts
337
Reaction score
447
Niende kwenye mada moja kwa moja, mitaani kumekuwa na majigambo baina ya watani wa jadi kuwa Simba endapo kama itamaliza ligi bila kufungwa hakitakuwa kitu kipya mbali na kwamba walishawahi kufanya hivo msimu wa 2010 ila pia Yanga wameshachukua ligi mara 2 bila kupoteza mchezo

Naomba kwa wanaofahamu watujuze kama ni kweli Young African wamewahi kuchukua kombe bila kupoteza mchezo na ilikuwa msimu wa mwaka gani

Natanguliza shukrani
 
Yanga hawajawahi kuchukua ligi bila kufungwa nakumbuka azam
 
Tena timu hiyo kuna tetesi kuwa kocha wake mkuu alikuwa anammega kocha Msaidizi wake maarufu kwa uropokaji

Naombeni majibu tafadhari
 
Hivi ni timu ipi Tanzania imewahi kuwa na mchezaji punga?? Tena alifumaniwa Morogoro analiwa??
Yanga na mchezaji huyo Ni ...... Mwingine anavaa kikuu nafikiri unamjua!
 
Harafu tambua watu wa Kongo kuvaa vikuku sio ishu sana kwao
 
Kuvaa kikuku na kukutwa live umembong'olea mwenzako its too difference mkuu
Umeelewa nichosema?? Kandambili fc karibia wote wanaliwa mbona inajulikana wewe wa wapi??

Mjini hapa Kila mtu anajua hiyo issue ya akina yondani!
 
Wapo wengi tuwataje wotee?? Karibia timu nzima yaani! Na saaasa hivi walivyopigwa na ukata ndio Basi Tena yaani Hadi jero wanachukua!
Miaka ya 1993 ulikuwa na umri gani kwani??

Nikkikuuliza Karume Songolo utakumbuka alikuwa anachezea timu gani??
 
Umeelewa nichosema?? Kandambili fc karibia wote wanaliwa mbona inajulikana wewe wa wapi??

Mjini hapa Kila mtu anajua hiyo issue ya akina yondani!
Hahahaaaaaa unatia huruma sana Mrembo Wangu hahaaaaaaa nacheka kwa dharau[emoji28] [emoji28] [emoji28]
 
Miaka ya 1993 ulikuwa na umri gani kwani??

Nikkikuuliza Karume Songolo utakumbuka alikuwa anachezea timu gani??
...wewe NI pimbiiiiiiii! 1993 nipo chuo UDSM mwaka wa 2! Sema lingine!
 
...wewe NI pimbiiiiiiii! 1993 nipo chuo DSM mwaka wa 2! Sema lingine!
Wewe uko chuo mm nina miaka 10 kazini tayari nimeshapata watoto wawili na mama yako mdogo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji28] upo hapo wewe mbumbumbu?? In Rage's voice[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…