Hahahaaa. Kwa sifa tu siwawezi Watani zangu.
Mujiandae kisaikolojia tu Mtani maana mpira hauna muamana.
Nini mbogo, anakua mwekundu kabisa povu linamtokaHakawii kuwa Mkali kama mbogo hasa pale mambo yanapokuwa kinyume.
Ye msemaji wa Simba habari za Yanga zinamuhusu nini kama sio UMBUMBUMBU
Msimwendekeze sana huyu zeruzeru. Akili zake haziko vizuri.Hayo ni maneno ya Haji Manara
YANGA KUUKOSA UBINGWA WA LIGI KUU BARA KWA MISIMU 10 IJAYO - SALEH JEMBE
Kiongozi, hiyo vision mmeipata lini? For the past 5 years, ubingwa mmechukua mara ngapi?Anachosema bw manara ni kweli kabisa. Huwezi kuwa bingwa wa nchi kama huna vision. Vision yako ni ubingwa wakati bingwa ndie mbeba nchi kwenye mashindano ya kitaifa sasa kama huna vision kimataifa utakwenda kuleta haibutu. Mpira ni uwekezaji mkubwa. Mwachieni simba azidi kutupa raha.
mbona amesema anarudi tena akimaliza refinery yake ya lagos hapo 2020Kroenke boss wa arsenal ni bahili sana alafu na kibaya sio mtu wa michezo, mtu mweusi alhaji dangote kila siku anaitaka arsenal sema wanambania sababu ya rangi naamini tungefika nae mbali, maana ni shabiki wa arsenal na huwa analaumu sana timu inavyoendeshwa kizamani mpira wa sasa ni pesa