Yanga kuuza jezi laki 1.5 msituone wajinga

Club hii imejaa uhuni uhuni mwingi usio na faida wala tija
 
Ukiwaona wale wazee wamejaa vibaraghashia na vijana wa madrassa jua hamna kitu hapo

USSR
 
Mmoja ajitokeze aninunulie,

Timu yangu simba wanauza bei gani?
 

Hayo matambara ndio laki 1.5?
Ndio maana mliambiwa Yanga wenye akili ni watu wawili tu!
 
Huku Yanga hakunaga mashabiki mbumbumbu km wewe, Nenda kanunue Yale madekio yenu ya vunjabei yamejaa tele hapo kariakoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…