Yanga kuuza jezi laki 1.5 msituone wajinga

Yanga kuuza jezi laki 1.5 msituone wajinga

Jezi nyeusi zilivyotoka tu, siku ya pili tu nikaenda makao makuu, lakini zilikiwa zimeisha Ila nje pale jamaa wanauza elfu hamsini na nilinunua.

Ila wanachofanya sio sahihi kabisa .
 
Huu unaofanya wewe ndo uhuni sasa. Kulaumu klabu ya Yanga kwa jambo linalofanywa na watu binafsi ni uhuni. Hapo ni dhahiri kuna watu walinunua jezi 5 au 10 wakijua zitaisha na watawalangua watu. Hakukua na limit ya idadi ya jezi za kununua. Ni kama tiketi za mechi kubwa zinavyolwnguliwa na kuuzwa bei kubwa watu wakizidi uwanjani.
 
Wanaleta uhuni tu- UTOPOLO
 
Wacha wananchi wauze hata 500k. Hayo ndo maoato ya club. Ada ya uanachama hamlipii, sasa hizo hela zenu tutazipata vip. Au unataka turudi kwenye bakuli? I
 
Sasa lawama ni kwa klabu au walanguzi?
 
Back
Top Bottom