Yanga kuvuna zaidi ya bilioni 11 msimu huu kama zawadi ya kutwaa makombe. Ni zaidi ya nusu ya uwekezaji wa Mo Dewji Simba

Yanga kuvuna zaidi ya bilioni 11 msimu huu kama zawadi ya kutwaa makombe. Ni zaidi ya nusu ya uwekezaji wa Mo Dewji Simba

Upumbavu wa nchi hii, utasikia.mwakani wanatembeza bakuli
 
Vizuri, zitaleta ushindani msimu ujao. Ila zimepatikana vipi? Nini kimeleta nn mpaka lufikia B11.
We unadhani wanajua zimefikaje bilioni 11 na kwanini sio 10 au 12. Hata wao hawajui mwishowe watakwambia una wivu
 
View attachment 2630301

Club ya Yanga itatwaa zaidi ya bilioni 11 msimu huu endapo itashinda makombe ya Ligi Kuu, FA, na CAF Shirikisho
Fedha hizo zitatokana na zawadi mbalimbali kutoka kwa CAF, Azam, Sportpesa, Haier, Goli la Mama, mauzo ya jezi n.k

Wanasimba wenzangu kama Yanga wanaweza kutwaa fedha zote hizi ni wazi kuwa hata Simba tukifanya usajili makini tutakuwa tunaingiza hizi fedha,
Na Mo Dewji na timu yake azingatie usajili mzuri tu na wala atakuwa halalamiki tena kuhusu hasara
Naunga mkono hoja
 
View attachment 2630301

Club ya Yanga itatwaa zaidi ya bilioni 11 msimu huu endapo itashinda makombe ya Ligi Kuu, FA, na CAF Shirikisho.

Fedha hizo zitatokana na zawadi mbalimbali kutoka kwa CAF, Azam, Sportpesa, Haier, Goli la Mama, mauzo ya jezi n.k

Wanasimba wenzangu kama Yanga wanaweza kutwaa fedha zote hizi ni wazi kuwa hata Simba tukifanya usajili makini tutakuwa tunaingiza hizi fedha.

Na Mo Dewji na timu yake azingatie usajili mzuri tu na wala atakuwa halalamiki tena kuhusu hasara
Ungeweka mchanganuo wa hiyo 11b ingesaidia... Vimbaaaa mwananchi
 
Hii lugha ya GOLI LA MAMA inabidi ichunguzwe,haijakaa vema
 
Back
Top Bottom