Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Yule wa upande mwingine kutwa kulalamika na kulialia.Boss haoni shida kutoa hela. Husikii akifanya interview kulia timu inamtia hasara. Safibsana GSM minne tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yule wa upande mwingine kutwa kulalamika na kulialia.
Utajiri wa mawazo ni shida sanaYule wa upande mwingine kutwa kulalamika na kulialia.
Kwani mpaka mlinganishe?? Mbona hamjiamini na mambo yenu..Yule wa upande mwingine kutwa kulalamika na kulialia.
Dada yangu mateso yote haya ya niniKwani mpaka mlinganishe?? Mbona hamjiamini na mambo yenu..
Utopolo hawajiamini,Kwani mpaka mlinganishe?? Mbona hamjiamini na mambo yenu..
Na kweli kakaa...sentensi yako ina uzitoUtopolo hawajiamini,
Wanayopitia ndio timu ndogo nyingi sana zinapita humo,
Na huwezi kuwa timu kubwa mpaka upitie haya anayopitia utopolo sasa,
Mwamedi janja janja sana.Yule wa upande mwingine kutwa kulalamika na kulialia.
Mbona unanilazimisha kuteseka kaka? Mm siteseki nina comment tuu nachoona kinafaa nina raha zangu kama zote mm sio shabiki anaefungwa hali au anajiua...ndo maana unaniona hapa..Dada yangu mateso yote haya ya nini
Dah pole sana dada, haya majamaa yanajitahidi sana kukuprovokeMbona unanilazimisha kuteseka kaka? Mm siteseki nina comment tuu nachoona kinafaa nina raha zangu kama zote mm sio shabiki anaefungwa hali au anajiua...ndo maana unaniona hapa..
Jamaa hataki hata kutoa poshoBoss haoni shida kutoa hela. Husikii akifanya interview kulia timu inamtia hasara. Safibsana GSM minne tena
PoleMbona unanilazimisha kuteseka kaka? Mm siteseki nina comment tuu nachoona kinafaa nina raha zangu kama zote mm sio shabiki anaefungwa hali au anajiua...ndo maana unaniona hapa..
Na wewe polePole
Mbona sijamtaja mtu jina!! Au kuna mtu umemfikiria?Kwani mpaka mlinganishe?? Mbona hamjiamini na mambo yenu..
Hebu nenda bwana...nasubiria ngongwe zanguMbona sijamtaja mtu jina!! Au kuna mtu umemfikiria?