Yanga kuweka kambi Morocco ni uamuzi sahihi?

Yanga kuweka kambi Morocco ni uamuzi sahihi?

CHIZI VITABU

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2021
Posts
1,061
Reaction score
2,477
Simba ilipojitoa Kagame cup na kusema wanawapa mapumziko wachezaji ya siku 10 then wanaenda kambi Misri kulikuwa na kebehi za kutosha kwamba wamewakimbia Yanga ambao walisema watashiriki michezo hiyo inayoanza tarehe 1 August.

Cha kushangaza inasemekana watatoa mapumziko ya week mbili na wachezaji wengine watabaki kwa ajili ya Kagame.

Ina maana kuna wachezaji kikosi A watabaki DSM? Maana ya pre season ni nini sasa?

Kama ni team ya vijana hata Simba walikuwa na option hiyo ila bora kujitoa kuliko kuja kugongeshwa magoli na kuanza kujitetea walikuwa ni madogo, hakuna hiyo watakuwa wamevaa nembo ya klabu na kama kuna wachezaji wa team A wataambiwa wacheze Kagame bila kwenda likizo kisaikolojia mtakuwa mmewakosea sana hata kama ni bench warmers.
 
Poleni kama nyie mmekimbia kohofia kupigwa magoli shauri yenu, kila timu inamipango yake, kukimbia mashindano mkijua mna mnakikosi kipana ni wehu, na mnajua mtakutana na Yanga mkaingia ubaridi
 
wana hela hadi zinawawasha. wacha waende wakateketeze hela huko. ila kuwa mchezaji mpira shida sana, kwahiyo anaondoka wiki mbili na akirudi anakuwa kambini, muda wote huo mke yuko home na wao wanaishije sasa huko moroco, wanachukua makahaba? si ndo wanapigiwa sana hao.
 
Poleni kama nyie mmekimbia kohofia kupigwa magoli shauri yenu, kila timu inamipango yake, kukimbia mashindano mkijua mna mnakikosi kipana ni wehu, na mnajua mtakutana na Yanga mkaingia ubaridi
Benchi la ufundi wanahitaji mapumziko na kuandaa mikakati ya msimu ujao. Hao yanga hawajaweza kumzuia Simba kuchukua makombe 2 muhimu hapa nchini iweje wamuogope?
 
wana hela hadi zinawawasha. wacha waende wakateketeze hela huko. ila kuwa mchezaji mpira shida sana, kwahiyo anaondoka wiki mbili na akirudi anakuwa kambini, muda wote huo mke yuko home na wao wanaishije sasa huko moroco, wanachukua makahaba? si ndo wanapigiwa sana hao.
Unawaza ngono tu......
au kwa kuwa jina lako ni chapwa chapwa
 
Wasisahau kwenda na mpili aliyegeuka kuwa pilipili[emoji4][emoji4][emoji4]
 
Back
Top Bottom