Yanga kwa kweli wamewafunika Simba 100%

Black BackUp

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2019
Posts
717
Reaction score
666
Jamani, jamani, jamani hii Yanga Day Imetisha!

Yanga kweli ni kiboko yao Kwanza imejaza uwanja watu wamefurika mpaka nafasi hakuña wengine wamebaki nje ukilinganisha na Simba day uwanja ulipwaya Sana.

Show ya msanii (harmonise) Latisha namna alivyoingia uwanjani. Kabumbu limepigwa vizuri Sana. Yàani Yanga Wamesajili watu wa ukweli wanapiga kazi show game wanaijua Simba walirukaruka Kama maharagwe kwenye chungu.

Jamani Acheni Yanga iitwe timu ya wananchi
 
Hivi na yanga ime-book viwanja viwili?
 
Inabidi ukitoka hapo akapimwe alivyoanguka wamshauli akachek X-ray
Kwa sababu ni marayako ya kwanza kuona, Yanga imekutoa tongotongo. Hakuna shida pale hata mazoezini amedondoka mita 10 bila maumivu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…