Yanga kwa mbinu ni noma

hewamkaa

Member
Joined
Mar 30, 2023
Posts
85
Reaction score
127
Amesahau kazi yake. Kasahau kwamba yeye ni msemaji wa Simba. Kutwa kucha kinywa chake kinatamka Yanga. Post zake zote za Facebook na Instagram, ni Yanga tu. Iwe kwa kejeli au matusi. Iwe kwa kumsifu mchezaji wa upande wake, lazima Yanga itajwe. Hongera Ali Kamwe umepata msaidizi.

Mdogo wangu Ali Kamwe, mbinu hii ya kumtumia adui, imekubeba na kuibeba Yanga kinoma. Hongera. Huu mtego wako, umenasa hata mashabiki wao. Hawajijui na hawajui kwamba wametegwa wakategeka. Ama kweli Prezda Hersi ni msomi kweli. Keep it up.

Povu ruksaaaa
 
Amesahau kazi yake. Kasahau kwamba yeye ni msemaji wa Simba. Kutwa kucha kinywa chake kinatamka Yanga. Post zake zote za Facebook na Instagram, ni Yanga tu...
Embu tulia kwanza, yaani umekaa chini ukafikiri kwa kina ndio ukaibuka na hoja hii?
 
Amesahau kazi yake. Kasahau kwamba yeye ni msemaji wa Simba. Kutwa kucha kinywa chake kinatamka Yanga. Post zake zote za Facebook na Instagram...
Ndiyo maana kuelekea wikend ya kimataifa japo inaongoza goli 2-0 ugenini ila yanga ndo inazungumzwa sana kuliko simba
 
akili zake finyu
 
Naunga mkono hoja
 
Mbona wewe ndio unatoa povu.
 
Mimi ni shabiki wa Yanga ila kuhusu ahmed ally huyo dogo tunajuana vizuri kiasili huyo ni Yanga lialia kama ilivyo kwa haji manara na gsm hawa ni simba lialia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…