Yanga kweli hawana shukurani.. hivi nyie ni wa kuilaumu TFF??

kombaME

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2015
Posts
2,115
Reaction score
2,818
Yanga ni wasahaulifu au tuseme hawana shukurani, kipindi ligi inaanza walikuwa na hali mbaya sana kiuchumi, kutokana na ukata uliokithiri TFF ikaamua kuwasaidia kuanza kucheza Dar Mechi zaidi ya kumi ili kuwapungumzia mzigo wa kusafiri mikoani, lakin leo wanaitukana TFF na kusema wanaibeba Simba, haya ni maajabu.
 
Reactions: Tui
Mbumbu mnashida sana, Ebu weka ushahidi ili uaminike.
 
Ukweli Ulio Wazi Ni Kwamba Tff Wanaibeba Simba. Kila Mechi Simba Lazima Wapate Penati. Kwanini?
 
Yanga ratiba yake ilikuwa waanzie Kanda ya ziwa.. Amunike akaita wachezaji Stars.. Ndio maana tukacheza mechi nyingi Taifa ila Kati ya hizo nyingine hatukuwa mwenyeji
 
Yanga ratiba yake ilikuwa waanzie Kanda ya ziwa.. Amunike akaita wachezaji Stars.. Ndio maana tukacheza mechi nyingi Taifa ila Kati ya hizo nyingine hatukuwa mwenyeji
Ndio maana wanaitwa mbumbumbu hawaangalii facts Dar Kuna timu wenyeji nyingi pia mfano simba, Lyon, kmc, jkt,azam, etc kwahiyo unajikuta unacheza sana Dar kuna wakati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…