Yanga Leo jiandaeni na kumulikwa vitochi usoni

Yanga Leo jiandaeni na kumulikwa vitochi usoni

Shark

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2010
Posts
29,775
Reaction score
29,746
Hawa jamaa ukiacha kupenda kwao mafataki mwanzo mwisho, pia ni waumini wazuri wa maswala mazima ya vitochi usoni.

Leo ndiyo mtajua hamjui, dadeki.
 
Teyari wana onyo la CAF.
onyo la caf ndo nini,lini caf walikua wakali kwa timu za waarabu?
hivi unajua lile goli la Mayele la offside ingekua timu ya waarabu ya huko kaskazini lingekubaliwa?
jana kuna timu ya waarabu wamepewa penat ya mchongo dk za mwisho ili tu waende makundi.
 
onyo la caf ndo nini,lini caf walikua wakali kwa timu za waarabu?
hivi unajua lile goli la Mayele la offside ingekua timu ya waarabu ya huko kaskazini lingekubaliwa?
jana kuna timu ya waarabu wamepewa penat ya mchongo dk za mwisho ili tu waende makundi.
Hivi hawa Wasudan mnawakweza sana! Eti Waarabu!! Yaani kwa sababu wanaongea Kiarabu, basi ni Waarabu!

Halafu hawana jipya eti. Maana wanafungika tu. Imagine timu mbovu kama Taifa Stars iliwahi kuifunga timu yao ya Taifa, mara kadhaa na kufuzu CHAN! Iweje timu imara na unbeaten kama Yanga ishindwe kuwafunga?
 
Hivi hawa Wasudan mnawakweza sana! Eti Waarabu!! Yaani kwa sababu wanaongea Kiarabu, basi ni Waarabu!

Halafu hawana jipya eti. Maana wanafungika tu. Imagine timu mbovu kama Taifa Stars iliwahi kuifunga timu yao ya Taifa, mara kadhaa na kufuzu CHAN! Iweje timu imara na unbeaten kama Yanga ishindwe kuwafunga?
"Taifa Stars" yao itachagua hapo hapo Sudan tu. Lakini vilabu hua vina uhuru wa kuchagua/kusajili popote.

Uganda Cranes ni kikwazo kikubwa kwa Taifa Stars lakini kwa ngazi ya Klabu Simba hufanya vizuri kuliko Vilabu vya Uganda.
 
Hivi hawa Wasudan mnawakweza sana! Eti Waarabu!! Yaani kwa sababu wanaongea Kiarabu, basi ni Waarabu!

Halafu hawana jipya eti. Maana wanafungika tu. Imagine timu mbovu kama Taifa Stars iliwahi kuifunga timu yao ya Taifa, mara kadhaa na kufuzu CHAN! Iweje timu imara na unbeaten kama Yanga ishindwe kuwafunga?
timu ngumu ndo maana Lupaso hawakufungika na goli walichomoa,nimeuliza goli la Mayele wangekua wao lingekubaliwa.

timu za kaskazini wanawekeza pesa ndani na nje ya club kwa marefa,viongozi wa caf n,k.
 
Back
Top Bottom