Huyu mzee awahishwe Dodoma.MZEE TUTUME MACHAWA TUKADAI [emoji108][emoji2957][emoji3]
"Mwaka 1994 Simba tulifanya vibaya kimataifa Yanga wakafanya vyema, Yanga hawakuwa na pesa yakucheza mechi ifuatayo, kiongozi wao Gulamali na mwenzake wakaomba niwakopeshe dola 4500, Yanga hawakurudisha mpaka leo na hakuna ubaya wowote, tunatakiwa tuweke mbele uzalendo sio utimu."
-[emoji2788] Mzee Azim Dewj Shabiki, Mwanachama na Mfadhili wa zamani wa @simbasctanzania
View attachment 2897968
MZEE TUTUME MACHAWA TUKADAI [emoji108][emoji2957][emoji3]
"Mwaka 1994 Simba tulifanya vibaya kimataifa Yanga wakafanya vyema, Yanga hawakuwa na pesa yakucheza mechi ifuatayo, kiongozi wao Gulamali na mwenzake wakaomba niwakopeshe dola 4500, Yanga hawakurudisha mpaka leo na hakuna ubaya wowote, tunatakiwa tuweke mbele uzalendo sio utimu."
-[emoji2788] Mzee Azim Dewj Shabiki, Mwanachama na Mfadhili wa zamani wa @simbasctanzania
View attachment 2897968
Mwambie aweke ushahidi mezani.MZEE TUTUME MACHAWA TUKADAI [emoji108][emoji2957][emoji3]
"Mwaka 1994 Simba tulifanya vibaya kimataifa Yanga wakafanya vyema, Yanga hawakuwa na pesa yakucheza mechi ifuatayo, kiongozi wao Gulamali na mwenzake wakaomba niwakopeshe dola 4500, Yanga hawakurudisha mpaka leo na hakuna ubaya wowote, tunatakiwa tuweke mbele uzalendo sio utimu."
-[emoji2788] Mzee Azim Dewj Shabiki, Mwanachama na Mfadhili wa zamani wa @simbasctanzania
View attachment 2897968
Milembe ndiyo yawe makazi yake. Gulamali akakopee kwake? Marehemu hawei kujiteteq.Huyu mzee awahishwe Dodoma.
Nikiona habari zake nakumbuka ya pasi kusababisha mgao wa umeme.
ndio maana amesema hakuna ubaya wowote, maana anajua hamuwezi kuzilipaMwambie aweke ushahidi mezani.