DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
MZEE TUTUME MACHAWA TUKADAI [emoji108][emoji2957][emoji3]
"Mwaka 1994 Simba tulifanya vibaya kimataifa Yanga wakafanya vyema, Yanga hawakuwa na pesa yakucheza mechi ifuatayo, kiongozi wao Gulamali na mwenzake wakaomba niwakopeshe dola 4500, Yanga hawakurudisha mpaka leo na hakuna ubaya wowote, tunatakiwa tuweke mbele uzalendo sio utimu."
-[emoji2788] Mzee Azim Dewj Shabiki, Mwanachama na Mfadhili wa zamani wa @simbasctanzania
"Mwaka 1994 Simba tulifanya vibaya kimataifa Yanga wakafanya vyema, Yanga hawakuwa na pesa yakucheza mechi ifuatayo, kiongozi wao Gulamali na mwenzake wakaomba niwakopeshe dola 4500, Yanga hawakurudisha mpaka leo na hakuna ubaya wowote, tunatakiwa tuweke mbele uzalendo sio utimu."
-[emoji2788] Mzee Azim Dewj Shabiki, Mwanachama na Mfadhili wa zamani wa @simbasctanzania