Mi sioni tatizo la kina Yikpe wala Molinga.
Wanachokosea mashabiki wanawavalisha hawa jamaa viatu vya Makambo na wakati huohuo wanasahau kuwa hawana viungo wakupiga Pasi za mwisho...Haruna Nyonzima no udambwiudambwi tu hapigi pasi mujarab kwenda kwa wafungaji...kifupi MTU Huyo
hayupo pale yanga kwa sasa alikua Ajib msimu uliopita.
Nafasi hata Kagere anakosa sana tu...lakini anapata nyingi ndo mana anafunga.
sasa unamuandama Molinga mwenye goli 8 hapo Yanga wakati chilwa yupo na kina Sureboy pia ana goli hizohizo naye wasemaje?
Yanga watafute kiungo mpiga pasi za mwisho siyo mpanda mipira na Huyo mwingine mpiga back passes halafu mnalaumu strikers...and in case they don't Nchimbi amefunga magoli mengi alipokua Police kuliko hapo yanga msimu huu.
Balama mapinduzi ye mbio tu..ubunifu hakuna.
Na hii siyo disrespect kwa yanga huu ni ukweli.