OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
🤣🤣🤣🤣🤣Kumbe jana@Shadeeya nae aliandamana nimemuona kwa mbali[emoji15]
View attachment 1485612
Mashabiki wa Yanga wakipaza sauti hawamtaki Yikpe.
Hii sio sawa kabisa. Mngevumilia ligi iishe muone usajili mpya. Mnawatisha wachezaji hata nafasi ya pili mtakoss
#Icantbreath
#YangaLivesMatters
Na kuna video nje ya uwanja wamemchapa yule jamaa aliyesema yanga ni utopolo
Kagere ana magoli mangapi ya offside na penalty za uzushiMi sioni tatizo la kina Yikpe wala Molinga.
Wanachokosea mashabiki wanawavalisha hawa jamaa viatu vya Makambo na wakati huohuo wanasahau kuwa hawana viungo wakupiga Pasi za mwisho...Haruna Nyonzima no udambwiudambwi tu hapigi pasi mujarab kwenda kwa wafungaji...kifupi MTU Huyo
hayupo pale yanga kwa sasa alikua Ajib msimu uliopita.
Nafasi hata Kagere anakosa sana tu...lakini anapata nyingi ndo mana anafunga.
sasa unamuandama Molinga mwenye goli 8 hapo Yanga wakati chilwa yupo na kina Sureboy pia ana goli hizohizo naye wasemaje?
Yanga watafute kiungo mpiga pasi za mwisho siyo mpanda mipira na Huyo mwingine mpiga back passes halafu mnalaumu strikers...and in case they don't Nchimbi amefunga magoli mengi alipokua Police kuliko hapo yanga msimu huu.
Balama mapinduzi ye mbio tu..ubunifu hakuna.
Na hii siyo disrespect kwa yanga huu ni ukweli.
Sidhani kama nimeongelea offside goals hapa wala penalty za uzushi...kifupi sipo kuelezea ubishani wa Simba na Yanga.Kagere ana magoli mangapi ya offside na penalty za uzushi
Ok magoli mangapi halali ya Yanga yanakataliwa toka msimu uliopita na penalty halali..Msomali anafikiria Malinzi alikuwa anaibeba Yanga analipizia Msuva Tambwe na Ngoma walikuwa hatari sana ..nakumbuka mechi na Prison Mbeya Kakolanya alidaka penalty..lini Simba wamepigiwa penalty wakati makosa ni mengi wanafanya ..double standardSidhani kama nimeongelea offside goals hapa wala penalty za uzushi...kifupi sipo kuelezea ubishani wa Simba na Yanga.
Nakueleza sipo hapa kubishana kuhusu Simba na Yanga mbona hunielewi? uliza swali kwenye nilichoongelea utajibiwa kinyume na hapo sitajibu chochote.Ok magoli mangapi halali ya Yanga yanakataliwa toka msimu uliopita na penalty halali..Msomali anafikiria Malinzi alikuwa anaibeba Yanga analipizia Msuva Tambwe na Ngoma walikuwa hatari sana ..nakumbuka mechi na Prison Mbeya Kakolanya alidaka penalty..lini Simba wamepigiwa penalty wakati makosa ni mengi wanafanya ..double standard
ulitakiwa uandike YANGA LIVES MATTERView attachment 1485612
Mashabiki wa Yanga wakipaza sauti hawamtaki Yikpe.
Hii sio sawa kabisa. Mngevumilia ligi iishe muone usajili mpya. Mnawatisha wachezaji hata nafasi ya pili mtakoss
#Icantbreath
#YangaLivesMatters
Kwa mashabiki nyie mpira wa bongo hautakaa ufike popote, huyo yikpe mkimvunjia mkataba ataondoka je gharama za kuvunja mkataba mpo tayari kuzibeba? Sio mambo ya kuvunja mkataba muanze janjajanja ya kumlipa, nikirudi kwa ulichochangia ni hisia tu wala hakuna kubebana ila kuna tatizo la kiwango duni cha waamuziOk magoli mangapi halali ya Yanga yanakataliwa toka msimu uliopita na penalty halali..Msomali anafikiria Malinzi alikuwa anaibeba Yanga analipizia Msuva Tambwe na Ngoma walikuwa hatari sana ..nakumbuka mechi na Prison Mbeya Kakolanya alidaka penalty..lini Simba wamepigiwa penalty wakati makosa ni mengi wanafanya ..double standard
Well said!!Mi sioni tatizo la kina Yikpe wala Molinga.
Wanachokosea mashabiki wanawavalisha hawa jamaa viatu vya Makambo na wakati huohuo wanasahau kuwa hawana viungo wakupiga Pasi za mwisho...Haruna Nyonzima no udambwiudambwi tu hapigi pasi mujarab kwenda kwa wafungaji...kifupi MTU Huyo
hayupo pale yanga kwa sasa alikua Ajib msimu uliopita.
Nafasi hata Kagere anakosa sana tu...lakini anapata nyingi ndo mana anafunga.
sasa unamuandama Molinga mwenye goli 8 hapo Yanga wakati chilwa yupo na kina Sureboy pia ana goli hizohizo naye wasemaje?
Yanga watafute kiungo mpiga pasi za mwisho siyo mpanda mipira na Huyo mwingine mpiga back passes halafu mnalaumu strikers...and in case they don't Nchimbi amefunga magoli mengi alipokua Police kuliko hapo yanga msimu huu.
Balama mapinduzi ye mbio tu..ubunifu hakuna.
Na hii siyo disrespect kwa yanga huu ni ukweli.