Ok magoli mangapi halali ya Yanga yanakataliwa toka msimu uliopita na penalty halali..Msomali anafikiria Malinzi alikuwa anaibeba Yanga analipizia Msuva Tambwe na Ngoma walikuwa hatari sana ..nakumbuka mechi na Prison Mbeya Kakolanya alidaka penalty..lini Simba wamepigiwa penalty wakati makosa ni mengi wanafanya ..double standard