Yanga mchawi wetu ni hela, wachezaji wa bei rahisi hatuwezi kufanana na mtani ambaye hana ubahili

Yanga mchawi wetu ni hela, wachezaji wa bei rahisi hatuwezi kufanana na mtani ambaye hana ubahili

FRESHMAN

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2011
Posts
9,137
Reaction score
34,793
Habari wadau,

Kama mwanayanga nina huzuni na matokeo ya mbeya.. na pia nina huzuni ya wivu wa mafanikio ya mtani simba.

Natambua kabisa mchawi wetu yanga ni hela kama kuna mwanayanga hatambui hilo naomba alitambue.

Kikosi cha simba kina watu wa gharama wengi tu. Ndio maana ana uwezo wa kupata matokeo popote..hata kwenye ligi wana uhakika wa ubingwa japo ligi tunaongoza sisi na ubingwa wataupata tu wakiamua sababu wana watu wa kuleta matokeo wengi . Sisi yanga tunatumia wachezaji wa bei nafuu lazima tulie tu.

Pia laana ya kumuacha david molinga kwa majungu ndio inatutafuna.. mpaka leo hii yanga hatuna mchambuliaji hata mmoja anayejua kujiposition kama molinga, japo molinga kibonge ila alifunga magoli kibao ambapo washambuliaji wote wa yanga waliopo leo hakuna atakayemfikia magoli molinga kwa hizi dalili.
 
Sawa hela ila Leo kocha na fiston wake wamezingua

Kocha nae ni wa bei nafuu... jiulize kocha ana rekodi gani ,kocha ashawai kufikusha timu yeyote hatua kubwa kwenye mashindano makubwa ya Africa.

Kocha wa watani simba wamemtoa al mereiky na ameifikisha timu hatua ya makundi pia .. simba hata kocha wanapata mzuri sababu wanatoa hela nzuri.
 
Kocha nae ni wa bei nafuu... jiulize kocha ana rekodi gani ,kocha ashawai kufikusha timu yeyote hatua kubwa kwenye mashindano makubwa ya africa..

Kocha wa watani simba wamemtoa al mereiky na ameifikisha timu hatua ya makundi pia .. simba hata kocha wanapata mzuri sababu wanatoa hela nzuri
Kwamba unakuwa kocha wa bei nafuu hadi kupanga kikosi unashindwa!?dah basi sawa
 
Kwamba unakuwa kocha wa bei nafuu hadi kupanga kikosi unashindwa!?dah basi sawa

Al ahly sio wajinga kumchukua kocha wa mamelodi na wasaidizi wake.. wanajua makocha wa bei nafuu wana upuuzi mwingi
 
Tatizo sifa za wachezaji wenu ziko kwa wachambuzi makanjanja na si uwanjani.
Walipoamua kumfitini Molinga tu kuwa kanenepa na nyie mkapagawa na kumuacha kwa hasira.

Yanga mnaangalia wachezaji wana mitindo kwa ajili ya kupugia picha.Hata hivyomefanikiwa kuuza jezi na madela ya kutosha.Hayo nayo ni mafanikio.

Uwanjani mnacheza mieleka na kukimbiza upepo tu.
 
Manji
Manji
Hawa GSM sio wajinga. Wanaanzisha vitu kwa Mbwembe alafu kimya kinafuata.
GSM na kubadili mfumo wa uendeshaji yanga kimyaaaa.

GSM na ujenzi wa uwanja wa mazoezi kule jangwani, ulifeli ukaja kigamboni wakatangaza tenda mpk saiz kimyaaaa

GSM kuwashitukia mpk utumie akili mingi kuwaza ndipo utagundua hapa ni upigaji mtupuuuuu🤣🤣🤣🤣
Yanga mnanipa stress nyie😆😆😆
 
Back
Top Bottom