Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Wakuu Kwema?
Kwa sasa tuko kwenye usajili, ndio msimu wake huu. Simba walimsajili aliekua Mchezaji wa Yanga Bernad Morrison. Yanga "wakalipa" kwa kumchukua aliekua CEO wa Simba bwana Senzo Masingiza Mbatha.
Sasa Simba wamechukua Mchezaji aliekua akiwaniwa na Yanga Mzambia Larry Bwalya. Ushauri wangu wa Yanga ni kuendelea kuchukua kiongozi wa Simba. Kuna huyu Mkurugenzi wa Wanachama wa Simba Bw. Hashimu Mbaga.
Huyu Ni Chanda na Pete na Senzo, hata kusimamishwa kwake ingawa hakuwekwi wazi ila ni sababu ya urafiki wake na Senzo. Huyu hata ofisi alikua akitumia moja na Senzo.
Yeye ndie aliekua akimtafutia Senzo mademu, kumtafsiria meseji mbalimbali za Kiswahili za Twitter, Instagram pia kumsaidia kuzijibu. Habari hizi nimezipata kwa Jamaa wa karibu wa Hashimu ambae tunakutanaga tunapataga Lager pamoja.
Sasa basi Yanga ikimchukua huyu itakua imelamba dume. Tofauti na Senzo ambae hakua Mwanachama, Mshabiki wala Mpenzi wa Simba hapo kabla ya kuja Simba, huyu Hashimu yeye ni Mpenzi, Mwanachama na Mshabiki wa Simba, hivyo Yanga wakiweza kumfanya abadili timu watakua wamelamba dume.
Kifupi mchezo utakua Simba inasajili Wachezaji wanaowaniwa na Yanga wakati Yanga inasajili waliokua Viongozi wa Simba.
Kwa sasa tuko kwenye usajili, ndio msimu wake huu. Simba walimsajili aliekua Mchezaji wa Yanga Bernad Morrison. Yanga "wakalipa" kwa kumchukua aliekua CEO wa Simba bwana Senzo Masingiza Mbatha.
Sasa Simba wamechukua Mchezaji aliekua akiwaniwa na Yanga Mzambia Larry Bwalya. Ushauri wangu wa Yanga ni kuendelea kuchukua kiongozi wa Simba. Kuna huyu Mkurugenzi wa Wanachama wa Simba Bw. Hashimu Mbaga.
Huyu Ni Chanda na Pete na Senzo, hata kusimamishwa kwake ingawa hakuwekwi wazi ila ni sababu ya urafiki wake na Senzo. Huyu hata ofisi alikua akitumia moja na Senzo.
Yeye ndie aliekua akimtafutia Senzo mademu, kumtafsiria meseji mbalimbali za Kiswahili za Twitter, Instagram pia kumsaidia kuzijibu. Habari hizi nimezipata kwa Jamaa wa karibu wa Hashimu ambae tunakutanaga tunapataga Lager pamoja.
Sasa basi Yanga ikimchukua huyu itakua imelamba dume. Tofauti na Senzo ambae hakua Mwanachama, Mshabiki wala Mpenzi wa Simba hapo kabla ya kuja Simba, huyu Hashimu yeye ni Mpenzi, Mwanachama na Mshabiki wa Simba, hivyo Yanga wakiweza kumfanya abadili timu watakua wamelamba dume.
Kifupi mchezo utakua Simba inasajili Wachezaji wanaowaniwa na Yanga wakati Yanga inasajili waliokua Viongozi wa Simba.