Etoile du Sahel ina mshambuliaji hatari sana ambaye ni raia wa Algeria na ni mshambuliaji pia wa timu ya taifa ya Algeria. Jamaa anatupia kambani kama hana akili, na mwaka jana alikuwa mfungaji bora wa ligi ya Tunisia. Mwenye macho haambiwi ona
Etoile du Sahel ina mshambuliaji hatari sana ambaye ni raia wa Algeria na ni mshambuliaji pia wa timu ya taifa ya Algeria. Jamaa anatupia kambani kama hana akili, na mwaka jana alikuwa mfungaji bora wa ligi ya Tunisia. Mwenye macho haambiwi ona
Kumbukeni mchezaji wa timu ya taifa ya Algeria iliyo bora kuliko timu zote za Africa kwa mujibu wa FIFA rankings. Akina Msuva wanachezea timu ya taifa ya Tanzania iliyo ya 100 duniani, na Tambwe si mchezaji tena wa timu ya taifa ya Burundi